Sikuwa karibu na Runinga, ila nilipofika nyumbani binti yangu akanieleza hakumuelewa Kikwete na kauli yake. Nikamuuliza kauli gani? Akaniambia amewambia ccm waache unyonge! wasitishwe na wapinzani, wagombee nafasi yoyote wanayotaka'.
Hii nchi JK haiachi salama, take my word! Nilishasema sisem wako tayari kua ilimradi wasalie madarakani. Hii haikubaliki. CDM nendeni jimbo la kalenga bila uoga. Wambie tume ya uchaguzi kuboresha daftari. Wambie polisi wasithubutu kulinda waiba kura, wasithubutu kuingilia kampeni za uchaguzi huo. Waandaeni green guard kulinda kura za wapiga kura. Nchi hii yetu sote....hakuna mwenye hati miliki ya uongozi. Ni box la kura linalohamua nani awe nani. si polisi, si jk, si mahakama. Ccm acheni haki ndiye awe mtawala.