Jana wakati James Ole Milya akizindua kampeni zake huko Simanjiro katika mkutano mkubwa kuwahi kushuhudiwa huku Lema akiwa amealikwa wanachama wa CCM 3000 walitangaza kukihama chama hicho na kujiunga na CHADEMA hili ni jimbo la Ole Sendeka mkoani Manyara.
Jana wakati James Ole Milya akizindua kampeni zake huko Simanjiro katika mkutano mkubwa kuwahi kushuhudiwa huku Lema akiwa amealikwa wanachama wa CCM 3000 walitangaza kukihama chama hicho na kujiunga na CHADEMA hili ni jimbo la Ole Sendeka mkoani Manyara.
bora akose mwaka huu...jamaa anatumia mdomo wake kupiga kelele bungeni ili wamuhonge akaanzishe kashfa bungeni....tumelishuhudia ili mara mbili tena ametumika sana na regina machache
Na alikuwa kinara wa kubeza tume ya jaji warioba wakati wa bunge maalum la katiba wana simanjiro tunawaomba tafadhalini sana tupa kule kabisa ole sendeka.