Wana CCM 3000 wajiunga CHADEMA

Chadema wakitoka wawili, wanaingia mia8. Kwa mafuriko haya ya lowasa hakika ccm inakufa!
 
jaman!!!akili ya kwambiwa changanya na ya kwako!!!!sendeka ni jembe tena kula la Jf zitawaponza!!!!mnadanganyana kwa robot lenu!!!polen
 
alichokosea zaidi sendeka aliwatukana masai wa kiteto...hapo ndipo alipojipalia mkaa zaid!
 


ole sendeka kushne
 

Mkuu nilikuwepo sendeka mr 0 kwishinei.
 

Attachments

  • 1442420090794.jpg
    28.1 KB · Views: 810
  • 1442420103438.jpg
    28.5 KB · Views: 797
  • 1442420114911.jpg
    8.9 KB · Views: 1,208
bora akose mwaka huu...jamaa anatumia mdomo wake kupiga kelele bungeni ili wamuhonge akaanzishe kashfa bungeni....tumelishuhudia ili mara mbili tena ametumika sana na regina machache
 
Khaa!! Akili fupi sana. Kuwa nwanacdm si lazima umpigie kura FISADI
 
Simanjiro ilitelekezwa kwa mda mrefu,sasa ni zamu ya millya kuleta changes,sendeka karibu kijiweni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…