Boniface Evarist
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 1,147
- 513
Akihutubia Dr. Slaa na kuwashangaa wabunge wa CCM kwa unafiki wao hasa wanapopiga kelele lakini amesema waliotia saini kwa ZITTO ni 7 tu.
watu wamejiunga Chadema na kutupa kofia na nguo za CCM.
SOURCE: ITV HABARI USIKU HUU
Akihutubia Dr. Slaa na kuwashangaa wabunge wa CCM kwa unafiki wao hasa wanapopiga kelele lakini amesema waliotia saini kwa ZITTO ni 7 tu.
watu wamejiunga Chadema na kutupa kofia na nguo za CCM.
SOURCE: ITV HABARI USIKU HUU
Nimeona wananchi wanavua tisheti na kofia za njano na kijani za magamba na kuzirusha pale mbele zikachomwe moto........
CCM siku zao za kutawala zinahesabika wakuu....