RUCCI
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 1,701
- 1,714
Akizungumza katika ufunguzi wa mkutano huo rais wa TAFFA Steven Ngatunga amesema maamuzi ya kufungia makampuni hayo ulikuwa wa kukurupuka.
Katika mkutano huo Serikali inawakilishwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Biashara(TNBC), Raymond Mbilinyi.
Chanzo: ITV