Wamiliki wa hospitali binafsi wanajua kweli gharama wanazokutana nazo wagonjwa?

Wamiliki wa hospitali binafsi wanajua kweli gharama wanazokutana nazo wagonjwa?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
Dah, nipongeze utaratibu wa baadhi ya kampuni zinazotoa huduma za kadi

Zaidi wewe uliyelipia hela ndefu kupata kadi hiyo.

Ukweli nimewaza sana, hivi hawa wamiliki wanakufaga kweli? Ama ndugu zao wanakufaga?

Mbona gharama kubwa sana aisee, kama vile hawaoni pepo.

Embu kaeni chini mjadiliane mnamsaidiaje Mtanzania, ama ndiyo mmeamua ku make money kwanza, Mtanzania aendelee.

No money, no service. Dah.

Mungu tusaidie.
 
Back
Top Bottom