Wameishi miaka saba bila kufunga ndoa na wanataka kuachana.

Hii siyo kweli, kifungu cha 160 bila kukosea kinazungumzia dhana ya ndoa, (presumption of marriage) kwamba huo muda ukipita na kama walikuwa wanaishi maisha ambayo yanaonyesha kama walikuwa wanaishi kama mume na mke basi huchukuliwa kuwa walikuwa ni wanandoa. Ila pia ikumbukwe hii siyo ndoa kwani yoyote kati ya hawa hawezi kuomba kutengana au talaka na zaidi dhana hii ya ndoa hutumika kama utetezi (defense na siyo kigezo cha kushtaki.
 
Kuikomboa nchi hii bado kuna safari ndefu sana ,nimejaribu kufuatilia michango ya members karibu wote ,yaani nimesikitika sana baadhi kutokujua vitu vidogo kisasi hichi ambavyo ni very basic na vipo kwenye public domain ,hauitaji kuwa lawyer kujua kuwa hapo Mali lazima wagawane .
 
Hata mimi ninayo, nawashangaa hao wanaokukomalia
 
Wala usishawishike; endelea hivyo hivyo na msimamo wako

Nenda katafute familia za ndugu/rafiki zako ambao wameshafariki; afu angalia hao ndugu wa damu ni wangapi wana mchango kwenye maisha ya watoto wa marehemu. Jibu kaa nalo
Waongea ukweli mtupu.
 
Huo ulazima wa mali kugawana sio lazima, inaweza kuwepo Exception katika hilo jambo. Mfano, mwanamke alikuwa na mahusiano na mwanaume mwingine ikapelekea hata kupata mtoto huko nje huku akiwa na mwanaume huyu aliyeishi nae, ndugu hapo utalia utakavyolia hutopata hata Mia Nyekundu
 
Mkuu umenifurahisha duh, kwa hasira imebidi upaki range.
 
Ukisha ishi na mwanamke/mwanaume kinyumba zaidi ya miaka 2 hiyo ni ndoa tayari Presumption of marriage....161 of LMA...kama sikosei
Hakuna kitu kama hicho. Tafuta kitabu cha sheria ya ndoa 1971, hiyo dhana yako utaiondoa.
Hata mkiiahi miaka mia bila ndoa ni ubatili mtupu, na hakuna anayebanwa na sheria ya ndoa.
Kama kuna risiti ya manunuzi kila mmoja atasunda cha kwake.
Nyumba itaangaliwa hati nk nk.
 
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji122][emoji122][emoji122]. Upo sahihi 100% mkuu.
 
H
Ndio pasipo shaka yeyote,Sababu huyo mama na huyo mwanamume ni mtu na mzazi mwenzi sio mtu na mumewe.Kwa hiyo mali zilizo kwa jina lake ni zake yeye kama yeye
Huna unachokijua. Embu acha kudanganya watu hapa
 
Ulisemalo ata Mimi ninakubaliana nalo, haiwezekani upewe nafasi ya kufunga ndoa kisheria au kidini, wewe kwa sababu unazozijua wewe haujataka kufanya hivyo, baadae matatizo yakitokea unataka upate haki kama MTU aliyefunga ndoa kwa kigezo cha presumption of marriage.

Presumption of marriage kama kweli inatumika inabidi iangaliwe upya.
 
My friend. Miaka 7 huyo ninmke wake wa ndoa. Wanagawana Mali nusu kwa nisu
 
Mie naamini hawana cha kugawana kama nyumba naamini hawajajenga, hawana gari, upuuzi wanini sisi kutuletea ujinga hapa. Waambie watu wenye akili za maisha hawana muda wa kupoteza kwenye migogoro shuwain wahed.
Mie nimegombana nimeachana na mke wa ndoa na nimemuachia kila kitu sembuse hao vimada.
 
As far as wamekaa pamoja zaidi ya miezi sita Basi hiyo ni ndoa na katika ugawanaji wa Mali atajulikana Kama mke so ni pasu pasu
 
Tafuta maamuzi ya mahakama ya karibuni kwenye hoja hiyo sio kitabu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…