Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Kwa Mujibu wa Vipaumbele vya bajeti ya 2013/2014 kama ilivyosomwa jana Elimu na Afya ni za mwisho. Kilimo ni Kipaumbele number NNE.
Je kweli Tutafika?
Ni wazi kuwa karibu asilimia 80 ya watanzania wantegema KILIMO kupata Kipato, Je Unapowatenga unategemea nini kama sio kuendeleza Umasikini?
[h=5]VIPAUMBELE VYA SERIKALI 2013/2014
1.Miundombinu ya uchumi
2.Nishati na umeme
3.Usafirishaji-Barabara,Reli na Anga
4.Kilimo na Umwagiliaji
5.Viwanda
6.Rasilimali watu
7.Huduma za utalii,biashara na Fedha
8. Huduma za kijamii
9.Elimu
10.Afya
11.Maji (Maji safi na salama,maji taka)[/h]
Je kweli Tutafika?
Ni wazi kuwa karibu asilimia 80 ya watanzania wantegema KILIMO kupata Kipato, Je Unapowatenga unategemea nini kama sio kuendeleza Umasikini?
[h=5]VIPAUMBELE VYA SERIKALI 2013/2014
1.Miundombinu ya uchumi
2.Nishati na umeme
3.Usafirishaji-Barabara,Reli na Anga
4.Kilimo na Umwagiliaji
5.Viwanda
6.Rasilimali watu
7.Huduma za utalii,biashara na Fedha
8. Huduma za kijamii
9.Elimu
10.Afya
11.Maji (Maji safi na salama,maji taka)[/h]