Wamasai wanaonewa sana Nchi hii, kule Kilosa nako?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,712
6,516
Hawa wamasai wanaonewa sana ni wakati sasa wasaidiwe kudai haki zao kwa namna yoyote ile.Naona Kilosa nako wanalia Aridhi yao kuporwa kwa nguvu na Wawekezaji, sijajua ni wawekezaji wapi hao ila hii inasikitisha sana.

Habari za chini ya kapeti kuna Wazungu pia wanaitaka Longido na Simanjiro, na kwa Longido yule anayeitaka Longido yuko tiyari awajengee nyumba kokote kule ilimuradi waondoke Poli la Longido. Kwa Simanjiro nako kuna kampuni moja ya utalii wa uwindaji wanaitaka ikibidi Simanjiro nzima.

Pia kuna eneo la Monduli nalo Wazungu wanalihitaji sana.

Screenshot_20231003_074545_com.facebook.katana.jpg
 
Hawa wamasai wanaonewa sana niwakati sasa wasaidiwe kudai haki zao kwa namna yoyote ile.Naona Kilosa nako wanalia Aridhi yao kuporwa kwa nguvu na Wawekezaji,sijajua ni wawekezaji wapi hao ila hii inasikitisha sana.

Habari za chini ya kapeti kuna Wazungu pia wanaitaka Longido na Simanjiro, na kwa Longido yule anaye itaka Longido yuko tiyali awajengee nyumba kokote kule ilimuladi waondoke Poli la Longido.Kwa Simanjiro nako kuna kampuni moja ya utalii wa uwindaji wanaitaka ikibidi Simajiro nzima.

Pia kuna eneo la Monduli nalo Wazungu wanalihitaji sana.View attachment 2770122
Duh...!. Wamasai kwao sini Masaini?!, huko Kilosa walifikaje?. Kuna mahali Mwenge wanajikusanya wanalala hapo hapo uwanjani!, wakiendelea kuachwa katarina hilo ni eneo lao, siku wakitolewa wanalalamika wanaonewa!.

Kilosa na Wamasai wapi na wapi?.
P
 
Duh...!. Wamasai kwao sini Masaini?!, huko Kilosa walifikaje?. Kuna mahali Mwenge wanajikusanya wanalala hapo hapo uwanjani!, wakiendelea kuachwa katarina hilo ni eneo lao, siku wakitolewa wanalalamika wanaonewa!.

Kilosa na Wamasai wapi na wapi?.
P
Ona hi ngombe ingine kwahiyo msukuma akikaa dar es salamu ni mlowezi, au mchaga kwenda dodoma ni kosa maana siko alikozaliwa... ila mzungu kuruka bara hadi bara ana haki ya kukaa


Sio bure unakosa teuzi kichwa chako akishiki netwerk vizuri
 
Kilosa sio kwao wamasai watulie longido
Nimekaa Mvuha na Kongwa Morogororo Vijijini, Wamasai na Wamang'ati siwatetei sana. Wana kawaida ya kuswagia mifugo kwenye mashamba ya wakulima na mahodari wa kutoa rushwa kwa wasimamia sheria kwa sababu wanazo pesa. Sehemu yoyote yenye mgogoro kati ya wakulima na wafugaji, anzeni kuchunguza uongozi uliopo, kuanzia RC mpaka mtendaji wa kijiji. Morogoro ma DC na ma RC hawakai sana kutokana na hayo niliyoandika
 
Jamii za wafugaji zinaangaika huku zikiwa na utajiri mkubwa wanashindwa kutumia utajiri waliobarikiwa na Mungu kujitengenezea maisha bora hivi kwanini mtu una ng'ombe zaidi 1000 unashindwa kununua ardhi na kumilikishwa kisheria ukachimba kisima,ukapanda majani ya kulishia ng'ombe wako na ukajenga nyumba nzuri badala yake unaamua kudhurura na mifugo kulala porini kama chizi! Unamuona mtu ana kundi kubwa la ng'ombe lakini ukimuona na familia yake wote wamedhohofu huku wakitoa harufu kama umekutana na maiti zinazotembea yaani kinyaa tupu lakini cha ajabu anajiita tajiri!
 
Duh...!. Wamasai kwao sini Masaini?!, huko Kilosa walifikaje?. Kuna mahali Mwenge wanajikusanya wanalala hapo hapo uwanjani!, wakiendelea kuachwa katarina hilo ni eneo lao, siku wakitolewa wanalalamika wanaonewa!.

Kilosa na Wamasai wapi na wapi?.
P
Huo ni ubaguzi, wewe ni wakili msomi Msukuma anaishi na anachunga mkoa wa Mbeya na Katavi.

Mtanzania anaweza kuishi sehemu yoyote ndani ya Jamhuri hii.
 
Hawa wamasai wanaonewa sana ni wakati sasa wasaidiwe kudai haki zao kwa namna yoyote ile.Naona Kilosa nako wanalia Aridhi yao kuporwa kwa nguvu na Wawekezaji, sijajua ni wawekezaji wapi hao ila hii inasikitisha sana.

Habari za chini ya kapeti kuna Wazungu pia wanaitaka Longido na Simanjiro, na kwa Longido yule anayeitaka Longido yuko tiyari awajengee nyumba kokote kule ilimuradi waondoke Poli la Longido. Kwa Simanjiro nako kuna kampuni moja ya utalii wa uwindaji wanaitaka ikibidi Simanjiro nzima.

Pia kuna eneo la Monduli nalo Wazungu wanalihitaji sana.

View attachment 2770122
Kwanza hao wamasai wametesa sana wakulima wa kilosa ngoja nawao waonje joto ya jiwe sasa
 
Kwanza hao wamasai wametesa sana wakulima wa kilosa ngoja nawao waonje joto ya jiwe sasa
Kuna ile vurugu mpaka watu walichinjana huko nakumbuka nlikuwepo kule
Hali ilikuwa hatari sana sana na lile tukio lingetokea wakati huu wa digital age masim nk kurekodi watu,wangeona mambo ya kutisha

Ova
 
Wamasai wasomi waanze kuelimisha wenzao waache upumbavu. Mbona nchi zingine hazina huu ushenzi wa kuzunguka na mifugo na nyama wanakula zaidi yetu. Ng'ombe za masai zina faida ndogo sana kwa taifa. Tanzania ina ng'ombe 35M na mbuzi/kondoo 25M na pia huenda ni zaidi ya hapo. Na wastani wa kila mtanzania hula 12kg ya nyama kwa mwaka. Italia ina ng'ombe 8M na nguruwe 12M na kwa mwaka hula 80Kg ya nyama kwa kila mtu. Kwa hivyo sisi tuna mifugo mara 4-5 zaidi yao ila wao wanakula nyama mara 6 zaidi yetu. Huu ni uwendawazimu. Umefika muda wamasai walazimishwe kuachana na ufugaji wa kishenzi.
 
Duh...!. Wamasai kwao sini Masaini?!, huko Kilosa walifikaje?. Kuna mahali Mwenge wanajikusanya wanalala hapo hapo uwanjani!, wakiendelea kuachwa katarina hilo ni eneo lao, siku wakitolewa wanalalamika wanaonewa!.

Kilosa na Wamasai wapi na wapi?.
P
Mkuu ili mradi walifuata taratibu, kanuni na sheria za serikali ya kijiji husika, wanakuwa ni wakazi na wenyeji wa kijiji husika.

Naamini jinsi walivyofika Kilosa, kwa kawaida ya wa Maasai, kwanza hupata kibali cha kusafirisha mifugo yao na hatimaye kuiswaga taratibu hadi waendako.
 
Duh...!. Wamasai kwao sini Masaini?!, huko Kilosa walifikaje?. Kuna mahali Mwenge wanajikusanya wanalala hapo hapo uwanjani!, wakiendelea kuachwa katarina hilo ni eneo lao, siku wakitolewa wanalalamika wanaonewa!.

Kilosa na Wamasai wapi na wapi?.
P
We jamaa una akili za hivyo...? Kwani Tanzania si mali ya watu wote mbona we msukuma umeenda kuishi dar kwani ni kwenu..?
 
Jamii za wafugaji zinaangaika huku zikiwa na utajiri mkubwa wanashindwa kutumia utajiri waliobarikiwa na Mungu kujitengenezea maisha bora hivi kwanini mtu una ng'ombe zaidi 1000 unashindwa kununua ardhi na kumilikishwa kisheria ukachimba kisima,ukapanda majani ya kulishia ng'ombe wako na ukajenga nyumba nzuri badala yake unaamua kudhurura na mifugo kulala porini kama chizi! Unamuona mtu ana kundi kubwa la ng'ombe lakini ukimuona na familia yake wote wamedhohofu huku wakitoa harufu kama umekutana na maiti zinazotembea yaani kinyaa tupu lakini

Jamii za wafugaji zinaangaika huku zikiwa na utajiri mkubwa wanashindwa kutumia utajiri waliobarikiwa na Mungu kujitengenezea maisha bora hivi kwanini mtu una ng'ombe zaidi 1000 unashindwa kununua ardhi na kumilikishwa kisheria ukachimba kisima,ukapanda majani ya kulishia ng'ombe wako na ukajenga nyumba nzuri badala yake unaamua kudhurura na mifugo kulala porini kama chizi! Unamuona mtu ana kundi kubwa la ng'ombe lakini ukimuona na familia yake wote wamedhohofu huku wakitoa harufu kama umekutana na maiti zinazotembea yaani kinyaa tupu lakini cha ajabu anajiita tajiri!
Shida yako ni mtazamo wako kuhusu wamaasai. Unafikiri wamaasai walivyo au wanavyo endesha maisha yao ni shida.

Kwa maana hiyo unajiona wewe ni wa maana na wa thamani kwa jinsi ulivyo au unavyoishi. Unajipa thamani ya kufikirika ambayo kimsingi ni utumwa tofauti na mmaasai.

Tusitake kulazimisha mitazamo na mitindo yetu ya maisha kuwa ya watu wengine. Tujifunze kuheshimu, kuenzi na kufurahia tofauti za watu wengine.
 
Kilosa wamasai ni wahamiaji, lini kilosa imekuwa ardhi ya wamasai? Wamasai ardhi yao ni huko umasaini mkoani arusha na baadhi ya maeneo ya mikoa ya manyara na kilimanjaro
 
Shida yako ni mtazamo wako kuhusu wamaasai. Unafikiri wamaasai walivyo au wanavyo endesha maisha yao ni shida.

Kwa maana hiyo unajiona wewe ni wa maana na wa thamani kwa jinsi ulivyo au unavyoishi. Unajipa thamani ya kufikirika ambayo kimsingi ni utumwa tofauti na mmaasai.

Tusitake kulazimisha mitazamo na mitindo yetu ya maisha kuwa ya watu wengine. Tujifunze kuheshimu, kuenzi na kufurahia tofauti za watu wengine.
Kwanza jamii ya wafugaji sio Maasai tu peke yao kwahiyo kama wewe ni Mmasai usifikiri wafugaji ni nyinyi tu lakini ikiwa una nyenzo ya kukufanya uwe na maisha mazuri hapa duniani lakini ukashindwa kuitumia ujijuwe wewe ni mpumbavu(afadhali ungekuwa mjinga),mtu hauwezi kuwa tajiri kutokana na Rasilimali unazomiliki na ukaamua kuishi kilofalofa kama mnyama pori halafu ukasingizia eti huo ndio utamaduni au ndio mtindo wako wa maisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom