fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 12,956
- 22,654
Hivi kwann wamasai hawataki kabsa kukaa porini yaan kila siku wanakuja Dar wanaongezeka kwa kasi sana aisee hawataki kabsa kuchunga n'gombe mnataKa nani awachungie aisee masai hamtaki kufanya kazi za asili.
Yaan masai mmekua kama watu wa makumbusho kutaka kazi nyepesi kusuka tu na kukaa tu getini kupga stori wanangU sio kweli em bakini bush kidogo halafu muache ile tabia ya kukaa wamasai sita halafu kila mmoja kawasha redio uyo anasikiliza mziki yule taarifa ya habari uyu anaskiliza mpira yaan daah!!! Jau
N'gombe zikifa mnahisi sisi Dar tutakula nyama gani wakuu
Yaan masai mmekua kama watu wa makumbusho kutaka kazi nyepesi kusuka tu na kukaa tu getini kupga stori wanangU sio kweli em bakini bush kidogo halafu muache ile tabia ya kukaa wamasai sita halafu kila mmoja kawasha redio uyo anasikiliza mziki yule taarifa ya habari uyu anaskiliza mpira yaan daah!!! Jau
N'gombe zikifa mnahisi sisi Dar tutakula nyama gani wakuu