johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,984
- 142,002
Mtu mmoja kwenye mkutano wa Trump jimboni Ohio amesikika akisema " Zamu hii uwe kama yule Shujaa wa Africa aliyewalinda Watu wake wakati wa COVID 19"
Wengi wametafsiri Mzungu huyo alimaanisha Mwanasayansi Shujaa Magufuli
Nawatakieni Dominica Njema 😄
Wengi wametafsiri Mzungu huyo alimaanisha Mwanasayansi Shujaa Magufuli
Nawatakieni Dominica Njema 😄