GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,553
- 108,889
Imegundulika ya kwamba kwa jinsi Wamarekani walivyokuwa na Hasira na Chuki za ' Kutukuka ' kabisa kwa Rais wao Donald Trump ambaye walikuwa na ' Matumaini ' nae makubwa sana baada ya kuonekana atakuwa ni ' Tiba ' ya mambo mengi ya Kipuuzi yaliyokuwepo hapo sasa kama pakitokea Uchaguzi Mkuu mwaka 2020 basi Wamarekani 57% si tu hawatampigia ' Kura ' bali hawatapoteza pia muda wao ' adhimu ' kwenda Kujipanga Mstarini Kumchagua.
Huyu ni Rais wa Marekani ila sijajua kwa Marais wengine hasa wa hapa Barani Afrika na Wao mwaka 2020 watakosa Kura asilimia ngapi kutoka kwa wale waliowachagua na walio na hasira nao kweli kweli ambapo inasemekana wengine kwa jinsi walivyochoka wana hamu hata Uchaguzi Mkuu uwe leo.
Bora Mimi hapa nilipo nchini Nicaragua kwa jinsi Rais wetu huyu ambaye kabla hajawa Rais hivi alikuwa ni Mchapakazi mzuri mno katika Nafasi zote za Uongozi alizoshika hivyo Wananchi wa hapa wamesema kuwa kwa Maendeleo haya ya haraka aliyoyafanya ya Kujenga Miundombinu, Hospitalini kuna Dawa zote, Maji yanapatika Nicaragua nzima, Elimu ni bure na hata Wanafunzi wa Vyuo Vikuu wanapewa Mikopo wote, Kodi inakusanywa na inatumika vyema, Mfumuko wa Bei hakuna kabisa, Wananchi wana raha, amani na furaha, nchi imemaliza Madeni yake yote na WB na IMF, Shule zote Wanafunzi wanakaa katika Dawati moja moja na kila Mwanafunzi anamiliki Laptop yake, Mazao yanauzwa vizuri na Wakulima wote wana furaha na Serikali ya hapa inawajali kama ambavyo hata Yesu Kristo na Mtume Mohammed wanawajali ' Wapendwa ' wao na Ujambazi na Mauwaji nayo pia yameisha na hayapo kabisa hivyo watampa Kura zake zote 100%.
Karibuni sana Nicaragua Wapendwa!
Nawasilisha.
Huyu ni Rais wa Marekani ila sijajua kwa Marais wengine hasa wa hapa Barani Afrika na Wao mwaka 2020 watakosa Kura asilimia ngapi kutoka kwa wale waliowachagua na walio na hasira nao kweli kweli ambapo inasemekana wengine kwa jinsi walivyochoka wana hamu hata Uchaguzi Mkuu uwe leo.
Bora Mimi hapa nilipo nchini Nicaragua kwa jinsi Rais wetu huyu ambaye kabla hajawa Rais hivi alikuwa ni Mchapakazi mzuri mno katika Nafasi zote za Uongozi alizoshika hivyo Wananchi wa hapa wamesema kuwa kwa Maendeleo haya ya haraka aliyoyafanya ya Kujenga Miundombinu, Hospitalini kuna Dawa zote, Maji yanapatika Nicaragua nzima, Elimu ni bure na hata Wanafunzi wa Vyuo Vikuu wanapewa Mikopo wote, Kodi inakusanywa na inatumika vyema, Mfumuko wa Bei hakuna kabisa, Wananchi wana raha, amani na furaha, nchi imemaliza Madeni yake yote na WB na IMF, Shule zote Wanafunzi wanakaa katika Dawati moja moja na kila Mwanafunzi anamiliki Laptop yake, Mazao yanauzwa vizuri na Wakulima wote wana furaha na Serikali ya hapa inawajali kama ambavyo hata Yesu Kristo na Mtume Mohammed wanawajali ' Wapendwa ' wao na Ujambazi na Mauwaji nayo pia yameisha na hayapo kabisa hivyo watampa Kura zake zote 100%.
Karibuni sana Nicaragua Wapendwa!
Nawasilisha.