Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dkt Hussein Mwinyi amejibu tuhuma zilizotolewa na balozi Ally Karume kwamba CCM haijawahi kushinda Zanzibar na kwamba Rais Mwinyi alibebwa na mwenyekiti wa ccm wa wakati huo kwenye kura za maoni kwa kuziita za kipuuzi na hatajibu upuuzi.
Rais Mwinyi amesema hakuna uchaguzi uliokuwa wa huru na haki kama wa mwaka 2020 kwani kura zilipigwa na kuhesabu hadharani mbele ya wajumbe na kamera zote, utaratibu ambao haukuwahi kutokea kabla.
Rais Mwinyi amesema hakuna uchaguzi uliokuwa wa huru na haki kama wa mwaka 2020 kwani kura zilipigwa na kuhesabu hadharani mbele ya wajumbe na kamera zote, utaratibu ambao haukuwahi kutokea kabla.