Wamarekani lile jiji la New York waliamua aisee!

Kinshasa....👍👍
 
Umasikini wa mali na akili! #kataaUmasikini
Dream Queen
 
Ukitembelea majiji kama hayo kazi sio kujifotoa picha tu bali kuchukua picha za mitaa mbalimbali iliyokuvutia majengo open spaces hotel rooms madhari ya mje ya hoteli n.k sasa ulifeli wapi?
Ungejua tunavyokuwaga basi tu. Mara nyingi tunapenda self kwenye sehemu nzuri nzuri. Ukipiga sehemu peke yake ukirudi bongo hakuna cha kuwatambia wana ofisini watasema umegoogle
 
Hongera sana kiongozi kwa ku explore the world
Binafsi sioni New York likiwa jiji zuri la kukaa, kwanza ni very populated, wanakaribia 9mil. Pamoja na kuwa na majengo mengi yaliyopangika ila mengi ni ya zamani miaka 1980 kurudi nyuma hadi 1950 hivi.
Kwa Marekani majiji ninayo yapenda sana ni kama Los Angeles au Chicago; yamejengeka vizuri sana na pupulation ndogo (karibia Nusu ya Dar).
Kwa mtu anayependa miji mizuri na kuenjoy mazingira yasiyo na Purkushani; hiyo ndio miji ya kutembelea.
Kwa hapa Africa Capetown is the best kwa wanaopenda miji mizuri na iliyotulia
Ushahidi upo wazi; Angalia hata kile kiwanja chao cha ndege maarufu sana hapo New York kijulikanacho kama John F Kennedy (JFK)ni cha kizamani ilijengwa miaka ya 1960 na huwezi kukilinganisha na viwanja vya kisasa kama vilivyopo Nchi za Kiarabu na Asia kwa ujumla. Hata hivyo wanampango wa kujenga termina III hapo JFK ambayo naamini itakuwa ya kisasa sana
Ukweli sijafika huko Ila naijua vizuri miji ya dunia kupitia World Tourisim Geography niliyosoma miaka hiyo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…