Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,300
- 1,495
Hayo ni maneno ya Donarld Trump katika moja ya interview zako uko nchini Marekani.
Trump ameahidi kuwarudisha kwao mamilioni ya wahamiaji haram waliovuka mpaka na kuingia kiolela nchini Marekani.
Aliongezea akisema jiji la New York city nimejaa wahamiaji haram na anataka kuwasafisha.
Hizi mechi uwa nazipenda sana natamani November iwe ndo kesho tupige kura
Trump ameahidi kuwarudisha kwao mamilioni ya wahamiaji haram waliovuka mpaka na kuingia kiolela nchini Marekani.
Aliongezea akisema jiji la New York city nimejaa wahamiaji haram na anataka kuwasafisha.
Hizi mechi uwa nazipenda sana natamani November iwe ndo kesho tupige kura