Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,488
- 908
Kumbe kuna watanzania wapuuzi kiasi hiki?
Hapo kichapo kwanza mazungumzo baadae, hiyo treaty inawahusu wajerumani na waingereza wenyewe labda waje na ramani iliyochorwa na Mungu, vinginevyo ziwa ni letu sote na kama kuna kiongozi atakubali kuliachia ziwa kwa namna yoyote basi damu ya watanzania itakuwa juu ya kichwa chake na vizazi vyake, hizo sheria za kimataifa hazitumiki kwa wayahudi na wapalestina?
Watanzania bora tufe kuliko kuishi bila ziwa Nyasa.
Ha ha haaa.. Aisee .. Na mie naongezea watanzania bora tufe kuliko kukosa twiga wanaoibiwa... Ha ha haaa.. Ngojea niongeze tena.. Bora tufe kuliko Kuwa wa mgao Wa umeme. Ha ha haaa!!! AKILI nyingine jamani,!!