Mimi sielewi huu ubishi kuhusu mpaka kwenye hilo ziwa unatokea wapi. Malawi wananukuu hiyo Heligoland Treaty, Tanzania nayo wananukuu Heligoland Treaty hiyo hiyo!
Kuna mikataba mingapi ya Heligoland?
Hata kama hiyo Heligoland Treaty inaipa Malawi hilo Ziwa bado nitapinga, mantiki haikubali Tanzania kutokuwa na sehemu ya maji ya hilo Ziwa, kutakuwa hakuna tofauti kati ya ule Mkataba wa Sultan wa Zanziba na Germany EA ambapo Sultan alitawala hadi eneo la maili 10 ya Pwani ya Tanganyika !
Kuna mikataba mingapi ya Heligoland?
Hata kama hiyo Heligoland Treaty inaipa Malawi hilo Ziwa bado nitapinga, mantiki haikubali Tanzania kutokuwa na sehemu ya maji ya hilo Ziwa, kutakuwa hakuna tofauti kati ya ule Mkataba wa Sultan wa Zanziba na Germany EA ambapo Sultan alitawala hadi eneo la maili 10 ya Pwani ya Tanganyika !