Wamachinga wameruhusiwa kurudi Mbagala Rangitatu?

Wamachinga wameruhusiwa kurudi Mbagala Rangitatu?

Asbuhi hawapo..ila masaa ya serikali ya kazi kuisha..wanarudi..

#MaendeleoHayanaChama
Rimjusi ukirifuga rinakuwa Rikenge na Rikenge ukirifuga rinakuwa Rimamba.😃😃 Hili tatizo wamelizembea wenyewe especially kutenga maeneo ya biashara na kutengeneza ajira. Sasa wawaache tu hakuna namna.
 
Nimeandika sasa hivi uzi kama huu kwa mbezi nimefurahi mwingine nae kaona hili
 
Katika hali inayoonesha kuwa fungate imekwisha wamachinga wa Mbagala Rangitatu wamerudi rasmi. Tujiulize muda na gharama zilizotumika nani atafidia? Hili ni tatizo la uongozi dhaifu kwani sheria zipo lakini wanaogopa kuzitumia.
Muulize Polepole.
 
Kariakoo wamejaa kupita katikati ya barabara ni shida kubwa
 
Katika hali inayoonesha kuwa fungate imekwisha wamachinga wa Mbagala Rangitatu wamerudi rasmi. Tujiulize muda na gharama zilizotumika nani atafidia? Hili ni tatizo la uongozi dhaifu kwani sheria zipo lakini wanaogopa kuzitumia.
Rudi.kesho Kama utawakuta! Ni mwendo wa ku-deal nao kisomi
 
Mbona maeneo mengi wamerudi tu? Manzese, Mzinga, hapo Mbagala ndo kabisaaa, saivi wamekuja na mbinu mpya wana vimeza vifupi, Hapa Shinyanga na mwanza ndo kwanza tunachonga meza
Wafukuzwe! au wakapange mbali na fremu za Wafanyabiashara halali.
 
Back
Top Bottom