Nimepita hapa Kimara mwisho nimeshuhudia mwenyewe kuwa wamachinga wanaiheshimu hii serikali mpya na kutii maagizo ya kuhama wenyewe.
Huu ndio uharibifu nilioushudia, sijui kwa nini wamachinga hawa wameamua kuharibu mabanda na maki zao pia. Anayejua anaweza kunisaidia kwa nini? Maana pamekuwa kama eneo lililolipuliwa na mabomu.
Asante Sakala na bosi wako anayekutuma, au unajituma mwenyewe!?
Machinga wamesharudi maeneo karibu yote jijini. Tatizo la machinga sio dogo kama nchi inavyolichukulia. Mtu anaweza kuvumilia njaa siku 2 tu ya 3 atatpka nje kutafuta chakula hawezi kukubali kufa njaa