Naomba kujuzwa hivi kuna ugomvi gani kati ya haya makabila mawili nasikia hawaruhusiwi kuoana na hata nyumba zao hazitazamani na wanaitana wapalestina sijui na wayahudi
wachaga ni wabaguzi sanahaya siyo makabila bali ni koo ndani ya kabila la Kichagga.Lugha zinaweza kuwa zinatofautiana na hii inasababishwa na kuongezeka kwa lahaja za lugha ya Kichagga kutokea TARAKEA mpaka KIBOSHO. Sifa mojawapo ya lugha ni uhai, na hii ni dalili nzuri za ukuaji wa lugha ya kichagga. Leo kiingereza cha Ireland siyo sawa na kile cha Scotland au hata Marekani.Mkuu upo hapoooooooooooooooooo!
wachaga ni wabaguzi sana
Naomba kujuzwa hivi kuna ugomvi gani kati ya haya makabila mawili nasikia hawaruhusiwi kuoana na hata nyumba zao hazitazamani na wanaitana wapalestina sijui na wayahudi
Hivi ukoo wa Chuwa wanatoka wapi katika wachaga...
Ukisikia majina haya ujue huyo ni mkibosho; Chuwa, Kimboka, Malya, Mmasi, Mkiwa, na ukisikia majina haya ujue huyo ni Mmachame: Mengi, Mmari, Shoo, Mwasi,
Ukisikia majina haya ujue huyo ni wa Rombo: Laswai, Shirima, Utouh, Kavishe, Ngooh, Tairo, Tesha, Mshanga, Kinabo, Tarimo, Urassa. Ukisikia majina haya ujue huyo ni wa Marangu: Marialle, Ruwaaichi, Monyiaichi, Munguatosha, Mrema, Mbatia. Hayo ni baadhi tu na kwa sehemu hizo chache. Take note majina haya yapo sehemu zote za uchagani: Massawe, Moshi, Swai, Lyimo,
Aisee...kwa hiyo kumbe Mengi ni Mmachame.
Mkuu umesahau: Mushi, Sawe,Lyatuu, Kweka, Muro, na Mboro!Ukisikia majina haya ujue huyo ni mkibosho; Chuwa, Kimboka, Malya, Mmasi, Mkiwa, na ukisikia majina haya ujue huyo ni Mmachame: Mengi, Mmari, Shoo, Mwasi,
Ukisikia majina haya ujue huyo ni wa Rombo: Laswai, Shirima, Utouh, Kavishe, Ngooh, Tairo, Tesha, Mshanga, Kinabo, Tarimo, Urassa. Ukisikia majina haya ujue huyo ni wa Marangu: Marialle, Ruwaaichi, Monyiaichi, Munguatosha, Mrema, Mbatia. Hayo ni baadhi tu na kwa sehemu hizo chache. Take note majina haya yapo sehemu zote za uchagani: Massawe, Moshi, Swai, Lyimo,
Ninyi mmetangulia sisi tuna kuja nyuma.
tatizo lenu kubwa ni ardhi.
Sasa hivi mesha jihudhuru kujenga kwenu.
Hata mkiwa na nia ya kujenga,
Kiamba siku hii mnagawana midizi mitatu,
ardhi hakuna.
haaa...haa..haaa! vipi ndugu yangu elimu ni zaidi ya mali nyingine yeyote, tulielimika , tumeelimika na tunazidi kusonga mbele.Pamoja na tatizo kubwa la ardhi tulilonalo uchagani pindi issue ya ujenzi wa shule inapokuja ardhi siyo tatizo. Na sasa tumeanza kujenga gorofa ili kukabidhiana na tatizo la ardhi. Na hili si kwa majengo ya serikali tu bali hata kwenye makazi ya watu!Kwa hiyo ndugu yangu kwa watu wenye shule matatizo yanajitatua yenyewe tu.Tunajenga kwa kwenda juu tu! upooo au juu nako kuna mwisho nini? acha kupumbazika!
Tunapumbazika ndiyo maana,
Private University ziko kibao huko kwenu.