Wallet za Kiume zimerudi

mfano wa wallet ya kwanza ya pili na ya tatu ndio ninayo mim. Ni wallet nzuri sana tena sana...wadau muungeni mkono kwa mzigo huo aisee na mtojuta kwa wallet hzo
 
nimeipenda hii ya nne vp na mie nipo tmk dar
 
Ningechukua,tatizo bei nayo ni kubwa .wamasai wanauza wallet ngozi og sh 4000/= tu
 
Nadhani Mkuu Hizo Wallet Na Hiyo Bei
Bila Shaka Ngozi Uliyotumia Kutengenezea
Ni Ya Tembo Wa Ulaya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…