Wallah daraja hili mlevi hapiti

Wallah daraja hili mlevi hapiti

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,333
Reaction score
829,485
1414639447943.jpg
 
walevi ni watade wa kulenga njia...
 
Kwa hili la pili mlevi hapiti tena hili huwa linatumika mchana tu uasiku huwezi kuona mahali pa kukanyaga! Akili ya mlevi inatoa fikra ya muda mfupi tu wa kuafanya kitu fulani na kufanikiwa. Kitu chenye kuchukua muda mrefu kama kuvuka hilo daraja refu hapo mlevi hafui dafu.
 
Akitolewa nduki na nyamaume simba atavuka vizuri tu tena kwa spidi kali sana.
 
hapo unapita kama unapita kwenye Barabara ya morogoro
 
kaka mbona hilo lina afadhali,,angalia hili hapa

Uwiiii umenikumbusha mkuu daraja kama hili lilikuwepo Kiyungi nyuma ya TPC Moshi wanapolima mpunga,ilikuwa inataka moyo kulivuka
 
​Unaweza ukawa unapiga mitungi kule upande wa pili mpaka ukapoteza namba, asubuhi unaamka uko kitandani upande huu wala huji ulipitaje hapo.
 
Walevi makini sana kuliko unavyofikiria.

Hebu jiulize kwanini mlevi hata alewe kiasi gani lakini nyumbani kwake hawezi kupotea hata siku moja?
 
Stop!! endeshapolepole mbele kuna kivuko cha walevi!:bump:
 
Kama hakuna njia nyengine unapita kabisa,
Ukifika kwenye hilo daraja steem zinapungua kdg unapiga mguu shoto mguu kulia ile ukimaliza kupita unaangalia ulipotoka na kugeuka unapokwenda fasta na safari inaendelea kama kawaida
 
Back
Top Bottom