Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 303
- 1,158
Habari kuwa Manara anafungiwa zilikwishajulikana mtaani na hata mwenyewe alijua, swali alijuaje, nani anavujisha siri za TFF, secretariat iliangalie hili, hao wachezaji wa zamani walioajiriwa hapo karume wanaimaliza TFF, taasisi itakosa nidhamu na ni hatari sana kwa usalama.
Asubuhi tu baada ya kamati kuitisha press habari kuwa jamaa anakula adhabu ishavuja, nani anafanya hivi na kwa maslahi ya nani?
Rais Karia, chunguza hili, taasisi lazima iwe na watu wenye kifua.
Asubuhi tu baada ya kamati kuitisha press habari kuwa jamaa anakula adhabu ishavuja, nani anafanya hivi na kwa maslahi ya nani?
Rais Karia, chunguza hili, taasisi lazima iwe na watu wenye kifua.