GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
Rais wa TFF Wallace Karia hata kama Mhamasishaji wa Yanga SC Haji Manara aliomba 'audince' nawe ili Kukuomba Msamaha akisindikizwa na Injinia Hersi Said ulichotakiwa kufanya ni Kumkwepa 'Kidiplomasia' ila siyo kukubali Kukutana nae.
Kitendo cha Haji Manara Kukaririwa tena akijigamba kabisa kuwa hakufanya Jambo lolote Arusha na kwamba ameandaa Jopo la Mawakili ilitosha Kukuonyesha jinsi alivyo Jeuri na Nyodo ila wenye Akili tumekushangaa mno Rais wa TFF Wallace Karia kwa Kuonana nae.
Sasa Rais wa TFF Wallace Karia jiandae Kuuona Unafiki wa Mhamasishaji wa Yanga SC Haji Manara pale tu Kamati ya Maadili ikimpa Adhabu Kali ambapo nina uhakika kwa kuwa anapenda attention na kutafuta Huruma kwa 'Public' atakachokifanya ni kuitisha 'Press Conference' ambapo atakuchamba mno, atatoa Siri zako na ataichafua TFF yako.
Umeharibu kwa kule Kuonana nae!!!!!
Kitendo cha Haji Manara Kukaririwa tena akijigamba kabisa kuwa hakufanya Jambo lolote Arusha na kwamba ameandaa Jopo la Mawakili ilitosha Kukuonyesha jinsi alivyo Jeuri na Nyodo ila wenye Akili tumekushangaa mno Rais wa TFF Wallace Karia kwa Kuonana nae.
Sasa Rais wa TFF Wallace Karia jiandae Kuuona Unafiki wa Mhamasishaji wa Yanga SC Haji Manara pale tu Kamati ya Maadili ikimpa Adhabu Kali ambapo nina uhakika kwa kuwa anapenda attention na kutafuta Huruma kwa 'Public' atakachokifanya ni kuitisha 'Press Conference' ambapo atakuchamba mno, atatoa Siri zako na ataichafua TFF yako.
Umeharibu kwa kule Kuonana nae!!!!!