Wall Street protest

Are you the 1%?

lol! 1% against 99% ya walalahoi ambao sasa wamechoka na the so called "American Dream" ambayo inawanufaisha wachache. Je, protest hii italeta kweli mabadiliko au itakuwa ni nguvu ya soda na mfumo huu wa kiuchumi ambao wengi wameanza kuupinga kuendelea kama kazi.
 

GOP walikuwa mabubu kwenye kwa teapartiers kama ambavyo Dems wako kimya kuhusu hawa jamaa zako. Sana sana nilichosikia ni uungwaji mkono na Dems na nasikia msababishaji mkuu nyuma ya pazia ni George Soros.
 
GOP walikuwa mabubu kwenye kwa teapartiers kama ambavyo Dems wako kimya kuhusu hawa jamaa zako. Sana sana nilichosikia ni uungwaji mkono na Dems na nasikia msababishaji mkuu nyuma ya pazia ni George Soros.

Si unajua muwamba ngoma....

 
Last edited by a moderator:
Sidhani kama itakuwa nguvu ya soda,walikuwa wanawavizia waone baridi ikiingia kama they still gonna be there.Lakini kama ni kweli uchumi ni mbaya na unemployement at the higher rates,basi tegemea resolve yao kuwa even stronger.Na pia yanasambaa sana kwa ksi,tena na haya mambo ya facebook ndo balaa.Nadhani they are serious hata kama media inawadown play.Tena hiyo ndo inawamotivate zaidi.Sana sana kinachoangaliwa na wanasiasa ni kujaribu kuona ni kivipi wata benefit from it.Definetly repubs cant, umeshasikia kauli za kina Bloomberg,Cain na wengineo.
 
Reactions: BAK

Your boy is toast! Unemployment rate is projected to remain high.
 
Si unajua muwamba ngoma....

Lawrence Macdonnel alimweka kwenye kona juzi kwenye last word.Jamaa si mchezo,alimbana Cain akanonekna kama corward.Hivi lazima ufikieri kama yule mpuuzi ili uwe tajiri?Huyu abakie na bishara zake sijui za Burger King
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
 
Last edited by a moderator:
Hili lijamaa silipendi aisee. Liko chafu chafu tu. Ndo maana sishangai likiwaunga mkono hao wehu wa Wall Street.

LOL! hahahahahah hana muda banaaa wa kujisafisha bali wa kutetea walalahoi 🙂🙂🙂....maana sinema zake zimeingiza michuzi ya kutosha tu hivyo sidhani kama hali hiyo inasababishwa na ukwasi 🙂
 

Arab Spring goes hand in hand with America Spring!
 
Mkuu,apples to apples,where does the 40 came from?Ni fact kuwa kuna 99 and 1 percents respectively.Hiyo arubaini cjui umeitoa wapi?

Respectively there are also 60 and 40 percents. So it is not fuzzy math.
 
Respectively there are also 60 and 40 percents. So it is not fuzzy math.
You cant just come up with numbers bana.Umeezitoa wapi?The issue is not math bana.Occupy Wallstreet ni 99 percent.Thats the fact.Your numbers dont represent netin.
 
You cant just come up with numbers bana.Umeezitoa wapi?The issue is not math bana.Occupy Wallstreet ni 99 percent.Thats the fact.Your numbers dont represent netin.

George Soros na Michael Moore ni 99 percent?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…