Mijadala mingi imeibuka na si jambo la ulazima uwe na degree ya uchumi ujue couses ya financial crisis duniani.Its a shame kwa msomi na mwanaharakati kama John mashaka kupotosha umma kuwa mtikisiko wa kiuchumi unaondelea sasa hivi umetokana na sababu moja wapo ikiwa vita ya Iraq na ongezeko la bei ya mafuta.
John mashaka kama msomi ni reflection ya wasomi wetu tunaowapa dhamana ya kutoa maamuzi sahihi kwa manufaa ya wananchi na matokeo yake ni kutumbukiza kwenye matatizo.
Nimemsikiliza kwenye interview yake na daily news nikasitika .is this the man called financial analyst? Muoneni muongo mkubwa wa wall street
Daily News | The leading Online news edition in Tanzania
Articles za huyo January Makamba zilishagundulika kuwa ni za kuiba, na siku ile ile zilipoletwa JF na kuwa exposed alizitoa haraka sana kwenye blog yake. Fikiria presidential aid anaenda ku plagiarize articles za NY Times, anafikiri Wabongo bado tu wajiiiiiinga hatusomi magazeti. Utaonea wivu watu kama hao?
Na huyo John Mashaka unasema anatoka kwenye humble beginnings, hivi ni Watanzania wangapi walikwenda US na utajiri? Hiyo hoja chovu ni kama Pinda alivyojisifu yeye ni mwana wa Mkulima wakati viongozi wenzake nao ni hivyo hivyo.
Halafu kama umeishi huko US na unaijua ile nchi ungefahamu kwamba huwezi kumuonea wivu mtu kama Mashaka. Mtu mwenye mafanikio ya kutengeneza $ 40,000 $ 60,000 $80,000 wote wako kwenye boti lile lile tu. Tena anaetengeneza $ 100,000 ndio unakuta ana mi stress ya mikopo ya nyumba na magari na malezi na ma baby sister na ma property taxes na ma home insurance na mi bills lukuki. Na kawaida huyu mwananchi wa $ 50,000 na wa $90,000 huwezi hata kujua tofauti. Na wala hata hawaogopani kwa sababu hata hujui mwenzio anatengeneza kiasi gani. Magari ya kukopa kila mtu anaweza kuwa nayo, nyumba huwezi kujua mtu ana renti au kanunua. Kununua kwenyewe unalipia renti miaka thelathini ndio inakuwa yako. Unamwonea mtu wivu na mafanikio ya kazi ya Wall Street ya North Carolina?
Yule Mashaka hana chochote cha kuonewa wivu. Ukimsikia anaongea tu unajua jamaa ni mjomba ni mwongo ni kilaza, aende akamdanganye Michuzi ndio labda hajui tofauti ya Wall Street na Charlotte offices, na financial analyst na paper pusher, na investment banker na bank teller. Mashaka ni wa kuonewa wivu? Wivu wa spotlight? Unafikiri kila mtu ana mcheche wa kutokea kwenye vi website vya Daily News na vya Michuzi?
Uwiano Maalumu
More on Mashaka
Wachovia Employee Helps Children In Africa - Family News Story - WSOC Charlotte
CCMAsili;Field Marshall,
Mkuu hata na wewe pia umelipanda hili Boti la YOYO,
yaani mpaka mnamuita Mashaka Mkenya? Ndugu zangu manvuka mpaka. Huyu mtoto kasoma tu Kenya Secondary siyo Mkenya angekuwa mkenya ni kweli angediriki?Huyu mtoto amezaliwa Tanzania, tena kakulia pale Oysterbay, lakini kasomea nje.
Yaani mnanisikitisha sana, mtoto kama mashaka mmpe majina ya ajabu ajabu ajabu. Nadhani ugonjwa wa Mashaka umetua Tanzania na wengi kweli wataugua
Field Marshal, kwetu sisi tulio NY na wewe,
tunakujua vizuri sana tena mtu mzima lakini sikujua wewe pia unawivu kiasi hichi hadi kumzushia mtoto mdogo kama yule. Pole Sana ndugu yangu lakini Heshima kwako, ila nadhani itabidi umuombe yesu.
Inabidi tutoe haki panapostahili hapa naona ni uharibifu tu, na ikibidi nitajivua uhanachama JF kutokana na Aibu zenu wakuu
Articles za huyo January Makamba zilishagundulika kuwa ni za kuiba, na siku ile ile zilipoletwa JF na kuwa exposed alizitoa haraka sana kwenye blog yake. Fikiria presidential aid anaenda ku plagiarize articles za NY Times, anafikiri Wabongo bado tu wajiiiiiinga hatusomi magazeti. Utaonea wivu watu kama hao?
Na huyo John Mashaka unasema anatoka kwenye humble beginnings, hivi ni Watanzania wangapi walikwenda US na utajiri? Hiyo hoja chovu ni kama Pinda alivyojisifu yeye ni mwana wa Mkulima wakati viongozi wenzake nao ni hivyo hivyo.
Halafu kama umeishi huko US na unaijua ile nchi ungefahamu kwamba huwezi kumuonea wivu mtu kama Mashaka. Mtu mwenye mafanikio ya kutengeneza $ 40,000 $ 60,000 $80,000 wote wako kwenye boti lile lile tu. Tena anaetengeneza $ 100,000 ndio unakuta ana mi stress ya mikopo ya nyumba na magari na malezi na ma baby sister na ma property taxes na ma home insurance na mi bills lukuki. Na kawaida huyu mwananchi wa $ 50,000 na wa $90,000 huwezi hata kujua tofauti. Na wala hata hawaogopani kwa sababu hata hujui mwenzio anatengeneza kiasi gani. Magari ya kukopa kila mtu anaweza kuwa nayo, nyumba huwezi kujua mtu ana renti au kanunua. Kununua kwenyewe unalipia renti miaka thelathini ndio inakuwa yako. Unamwonea mtu wivu na mafanikio ya kazi ya Wall Street ya North Carolina?
Yule Mashaka hana chochote cha kuonewa wivu. Ukimsikia anaongea tu unajua jamaa ni mjomba ni mwongo ni kilaza, aende akamdanganye Michuzi ndio labda hajui tofauti ya Wall Street na Charlotte offices, na financial analyst na paper pusher, na investment banker na bank teller. Mashaka ni wa kuonewa wivu? Wivu wa spotlight? Unafikiri kila mtu ana mcheche wa kutokea kwenye vi website vya Daily News na vya Michuzi?
Uwiano Maalum,
Field Marshall ES
YOYO.
Mimi kama mtanzania, nadhani nimechukizwa mno na hii tabia ya hawa ndugu zetu ambao siku zote wanajiona kwamba ndio Mungu watu. guys you must stop this insanity; Mnawaombea hadi wenzenu kupoteza hajira kama siyo uchawi ni kitu gani? Wamesoma unadhani wakipoteza kazi hawatapati kazi zingine?
Nadhani muda umefika kwenu either kunyamaza au kunyamazishwa. You must be some of those wazamiaji ambao maisha imewashinda matokeo yake mmebakia na hasira za kujadili watu. Hapa au kwenye hii mada January Makamba ameingiaje?
Yoyo wewe unafanya kazi gani na nani anakufahamu? Field Marshal na Heshima yako Unafanya kazi gani, Uwiano na wewe unafanya kazi gani. Mkishindwa Maisha na kuendesha Lori rudini makwenu. Mkishindwa kuosha wazee, rudini mkapumzike makwenu. Hacheni hizi tabia za kimbea na majungu
Mlikuwa mnamsengenya mashaka ambaye pamoja na umri mdogo, kawashinda kwa mbali mizee mizima. Sasa January kaingiaje humu, kumjadili mashaka kumeingiaje kwa January au Dr. Shayo?
January mnamfahamu kwa Jina tena anakofanya kazi, Hebu kama mna ushahidi kwamba anaiba articles, leteni huo ushahidi. Bring Evidence ! You are people hiding under the cover of darkness with pants half naked hitting key boards like fools, you may think you are not known but you are known clearly well. Field Marshall, who doesnt know you? what better do you have better than January? or you want us to start talking about you too? how would you feel?
Yes, Janaury works for the President, he is well known and a very brilliant guy. What is your main intent of discussing him? He is very well educated with valid credentials, what do you have? Vyeti vilivyounganishwa? January is only 32 and you; meaning has a long and a healthy career ahead.
Dr Shayo Maybe is approaching 40, but atleast we know his name, he is teaching at a university, he is consulting extensively, he is using his real names. anawaelemisha, na kama mnajiona mko so clever kwa nini mnasoma vitu vyake, mkiwa na akili kwa nini mna hasira za ajbu na wenzenu?
Back to Mashaka, the so called Yoyo a Looser, brought some undercooked paper, calling Mashaka a liar. Mashaka is only 31 if not 30, he works for one of the major investment banks, extremely brilliant and well educated. whether he is a teller in carolina or sweeper in NY. That is his job, he is proud to have a job and helping his people . He has never came to you to beg
Mybe he is the smartest teller to have ever lived, yuko BBC, Yuko CNBC,Yupo Business Week Nyie mko wapi?
Jamii Forums mnajadili watu.
Uwiano maalum mm nakuonea huruma jinsi unavyojidhalilisha, kwani Kazi za investment Banking zimefungwa sehemu moja? Hebu kasoma hata simu moja kuhusu Investment Banking jobs au "Capital Markets" Nadhani wwwe ni ignorant kwa kifupi. Limbukeni
What I can tell you, majitu kama YOYO I know for Sure, you can never even be close to Mashaka and January, not even an inch close, na hata wew unajua hilo ndo maana unaamua kuwaita kila aina ya majina. Na huyu jini Uwiano Maalumu azidi tu kuwiana. Wivu wake dhidi ya January ndio chanzo cha uchizi wake.
Field Marshall anadiriki kuuliza mtoto aliyezaliwa Tanzania ikiwa ni Mkenya wewe ni wa wapi? Field Marshall wewe ni Mnyarwanda? au Mgogo? ukishajibu hilo swali basi swala la Mashaka utakuwa umelijibu mwenyewe. Swali lako la Mwisho, Je tuanze kumjadili mkeo anavyogawa TIGO?
Yoyo, na wewe unadhani siku zako za Udokozi zimesahaulika?
Machungu mnayoyasikia ndo yale wenzenu mnaowajadili wanayoyasikia. Au ndo mnajaribu kuwavunja moyo ili ndoto zao zisitimie?
Hawa watoto ni nyinyi ndo mnaozidisha umaarufu wao kwa umbea wenu na majungu mliyonayo. Sijaona kati yao hata mmoja anayejigamba, January hajajigamba. Mashaka ni mstaarabu mno. Nyie ndo wenye majigambo, arrogant for nothing, sore losers. na kama Sikosei mliingia majuu kupitia posta ya zamani ndo maana mna machungu na wenzenu. Mnazusha kweli
Nadhani hii forum imeanzishwa kwa ajili ya mijadala ya kijamii siyo kujadili watu. Mkishindwa kujadili mada zao, basi rudini nursing homes mkamalize kazi zenu, hacheni chuki binafsi kwa hawa watoto. they are real people, and real humans using their real identities, unlike you calling yourselves with devilish names
Lazima tusitishe hii tabia chafu ya Usenene. Nami pia najificha nyuma ya computer jinsi mnavyojificha kuwachafua wenzenu
Lengo langu kubwa ni kukataza hii tabia ya kujadili watu badala ya mada zao. Jifikirieni nyie wenyewe ikiwa mtu atawavamia na kuanza kuwajadili kila siku, au mnadhania kuanza kuandika majina yenu humu ndani ni kazi ngumu hadi na wake zenu mnavyowaandika wengine?
Uwiano Maalum,
Field Marshall ES
YOYO.
Mimi kama mtanzania, nadhani nimechukizwa mno na hii tabia ya hawa ndugu zetu ambao siku zote wanajiona kwamba ndio Mungu watu. guys you must stop this insanity; Mnawaombea hadi wenzenu kupoteza hajira kama siyo uchawi ni kitu gani? Wamesoma unadhani wakipoteza kazi hawatapati kazi zingine?
Nadhani muda umefika kwenu either kunyamaza au kunyamazishwa. You must be some of those wazamiaji ambao maisha imewashinda matokeo yake mmebakia na hasira za kujadili watu. Hapa au kwenye hii mada January Makamba ameingiaje?
Yoyo wewe unafanya kazi gani na nani anakufahamu? Field Marshal na Heshima yako Unafanya kazi gani, Uwiano na wewe unafanya kazi gani. Mkishindwa Maisha na kuendesha Lori rudini makwenu. Mkishindwa kuosha wazee, rudini mkapumzike makwenu. Hacheni hizi tabia za kimbea na majungu
Mlikuwa mnamsengenya mashaka ambaye pamoja na umri mdogo, kawashinda kwa mbali mizee mizima. Sasa January kaingiaje humu, kumjadili mashaka kumeingiaje kwa January au Dr. Shayo?
January mnamfahamu kwa Jina tena anakofanya kazi, Hebu kama mna ushahidi kwamba anaiba articles, leteni huo ushahidi. Bring Evidence ! You are people hiding under the cover of darkness with pants half naked hitting key boards like fools, you may think you are not known but you are known clearly well. Field Marshall, who doesnt know you? what better do you have better than January? or you want us to start talking about you too? how would you feel?
Yes, Janaury works for the President, he is well known and a very brilliant guy. What is your main intent of discussing him? He is very well educated with valid credentials, what do you have? Vyeti vilivyounganishwa? January is only 32 and you; meaning has a long and a healthy career ahead.
Dr Shayo Maybe is approaching 40, but atleast we know his name, he is teaching at a university, he is consulting extensively, he is using his real names. anawaelemisha, na kama mnajiona mko so clever kwa nini mnasoma vitu vyake, mkiwa na akili kwa nini mna hasira za ajbu na wenzenu?
Back to Mashaka, the so called Yoyo a Looser, brought some undercooked paper, calling Mashaka a liar. Mashaka is only 31 if not 30, he works for one of the major investment banks, extremely brilliant and well educated. whether he is a teller in carolina or sweeper in NY. That is his job, he is proud to have a job and helping his people . He has never came to you to beg
Mybe he is the smartest teller to have ever lived, yuko BBC, Yuko CNBC,Yupo Business Week Nyie mko wapi?
Jamii Forums mnajadili watu.
Uwiano maalum mm nakuonea huruma jinsi unavyojidhalilisha, kwani Kazi za investment Banking zimefungwa sehemu moja? Hebu kasoma hata simu moja kuhusu Investment Banking jobs au "Capital Markets" Nadhani wwwe ni ignorant kwa kifupi. Limbukeni
What I can tell you, majitu kama YOYO I know for Sure, you can never even be close to Mashaka and January, not even an inch close, na hata wew unajua hilo ndo maana unaamua kuwaita kila aina ya majina. Na huyu jini Uwiano Maalumu azidi tu kuwiana. Wivu wake dhidi ya January ndio chanzo cha uchizi wake.
Field Marshall anadiriki kuuliza mtoto aliyezaliwa Tanzania ikiwa ni Mkenya wewe ni wa wapi? Field Marshall wewe ni Mnyarwanda? au Mgogo? ukishajibu hilo swali basi swala la Mashaka utakuwa umelijibu mwenyewe. Swali lako la Mwisho, Je tuanze kumjadili mkeo anavyogawa TIGO?
Yoyo, na wewe unadhani siku zako za Udokozi zimesahaulika?
Machungu mnayoyasikia ndo yale wenzenu mnaowajadili wanayoyasikia. Au ndo mnajaribu kuwavunja moyo ili ndoto zao zisitimie?
Hawa watoto ni nyinyi ndo mnaozidisha umaarufu wao kwa umbea wenu na majungu mliyonayo. Sijaona kati yao hata mmoja anayejigamba, January hajajigamba. Mashaka ni mstaarabu mno. Nyie ndo wenye majigambo, arrogant for nothing, sore losers. na kama Sikosei mliingia majuu kupitia posta ya zamani ndo maana mna machungu na wenzenu. Mnazusha kweli
Nadhani hii forum imeanzishwa kwa ajili ya mijadala ya kijamii siyo kujadili watu. Mkishindwa kujadili mada zao, basi rudini nursing homes mkamalize kazi zenu, hacheni chuki binafsi kwa hawa watoto. they are real people, and real humans using their real identities, unlike you calling yourselves with devilish names
Lazima tusitishe hii tabia chafu ya Usenene. Nami pia najificha nyuma ya computer jinsi mnavyojificha kuwachafua wenzenu
Lengo langu kubwa ni kukataza hii tabia ya kujadili watu badala ya mada zao. Jifikirieni nyie wenyewe ikiwa mtu atawavamia na kuanza kuwajadili kila siku, au mnadhania kuanza kuandika majina yenu humu ndani ni kazi ngumu hadi na wake zenu mnavyowaandika wengine?
Tuseme hawa vijana hawana lolote la maana, basi tuleteeni la maana nasi tuone
Ligi kuu
ChingaMzalendo said:Uwiano na wewe unafanya kazi gani.
[Uwiano maalum mm nakuonea huruma jinsi unavyojidhalilisha, kwani Kazi za investment Banking zimefungwa sehemu moja?
Nadhani wwwe ni ignorant kwa kifupi. Limbukeni
Na huyu jini Uwiano Maalumu azidi tu kuwiana. Wivu wake dhidi ya January ndio chanzo cha uchizi wake.
- Mkuu chinga, kwa kawaida huwa ninakuheshimu sana kwa sababu wakulu wengi unaoshirikiana nao ni washikaji zangu, na bado nitaendeleza hiyo heshima na nitajaribu kukujibu maswali yako machache:- mimi ni ex-baharia, nina degree mbili za US, na ninamiliki kampuni yangu ndogo ya Tractor & Trailers, na moja kati ya hizo Trailers ninalikung'uta mwenyewe.
- Sina noma na Januari kwa sababu ni mshikaji wangu wa karibu sana, Mashaka sio kwa karibu sana, lakini ninamjua demu wake mmoja kwa karibu sana, kwamba nina wivu hapana, kwamba nina njaa ya kumuonea wivu hapana. Mke wangu anafahamika na society nzima ninapoishi kama mimi ninavyofahamika, unaweza kusema anything you want on her wala sitajali maana the record iko clear who she is, kwanza utachekwa mkuu, na mimi mwenyewe kama unamjua mwanamke yoyote yule anayenihusu nje ya mke wangu usiwe na wasi mtaje, wanaonifahamu vizuri watakusaidia.
- Nina swali moja tu nililouliza nalo ni kama jamaa yako ni Mbongo au Mkenya kwa sababu niliwahi kuwasikia hawa mademu wakiongea kuhusu hiyo ishu, sasa sina uhakika na hilo tu ndilo swali nililouliza, ukiweza nijibu au kama huwezi waachie wanaoweza kujibu na hata kama hakuna jibu hakuna noma kwangu, mimi baharia siwezi kuwa na noma na huyu Dogo kwa sababu na mimi ni mhangaikaji kama yeye.
Na heshima yangu kwako inaendelea pale pale, maana washikaji wako ni wangu.
Respect.
FMES!
Hii ni celebrity forums..kwa maana halisi maisha ya watu yanajadiliwa..asiyetaka ajinyonge.
Basi kama ni kujinyonga kaanze wewe, upuuzi hatutaki mjadili mtu ukione. Jadili mada zao siyo umbea mnaotuchosha nao. Mkiwa wasomi kafundishe chuo kikuu au fanyeni research kwenye fani zenu siyo research za umbea
January Makamba ameingiaje? January ameingizwa humu na mpambe wa Mashaka, Kilandu, CCMasili (msome hapa na hapa). Tuwaulize nyinyi mliomchomeka hapa kumpamba.
January ni plagiarist, ni kilaza, ndio maana wala hata hakubisha akaondoa haraka iwezekanavyo zile articles alizokuwa amezibandika kama zake, akazirudisha na attribution ya NY Times siku ile alipoanikwa hapa JF. Na athubutu kuzirudisha kwenye blog yake na jina lake kama mwandishi. Muulizeni kwa nini aliondoa jina lake?
Kitu kingine January amefanya baada ya kuwa exposed hapa siku zile ni kuondoa access kwenye profile za wachangiaji wake, kama Waziri mstaafu Diallo ambae alitia aibu jinsi alivyo ji introduce occupation yake. Sasa hivi huwezi kuona profile/wasifu wa wachangiaji. Ukibonyeza jina inakwambia profile not available. Naona wamefanya mabadiliko. Wanaficha profile baada ya kukosolewa na JF. Umeshaona wapi watu wanaanzisha blog halafu wanaficha profile zao? Aibu tupu, vilaza, wezi wakubwa. Nadhani Waziri aliomba January amtoe, au January aliamua kuwahi kumsitiri Waziri Diallo. One or the other. Sasa watu kama January, Diallo, Shayo, Mashaka, watupu kama hawa ni wa kuwaonea wivu?
Professor Shayo nae mnamleta humu nae, duuu, maskini ya Mungu. Jamaa alijifanya ni expert wa masuala ya historia ya Valentine, akaandika article kwa Michuzi. Akapigiwa makofi na wasomaji wa Michuzi, kumbe article yenyewe kaiba nzima nzima halafu kachomekea vineno Tanzania humo ndani ionekane kama ni article ya Kibongo vile, kumbe kaiba mitandaoni. Halafu akijua ana dili na watu gani akasema hii article nimewaandikia wasomaji wa Michuzi. You know how wachangiaji wa Michuzi walivyo wepesi wepesi. JF watu kama Shayo wanajua hawathubutu kusogelea. Professor mwizi.
John Mashaka, duuu, huyu John Mashaka mimi nadhani kuna sababu ya wachangiaji kuuliza kama ni Mbongo huyu mtu. Ana sound kama mjomba. Anadai ni investment banker wa Wall Street. Hakuna Wall Street North Carolina. Ni mwongo, kilaza, mjomba. Eti hajaomba mtu msaada? Alishatembeza vibakuli kwa wananchi, Charlotte, kupitia foundation yake halafu akaongopa kuhusu usajili wa foundation yake kwenye interview Daily News mwaka jana. Anaficha nini, au ni mwizi?
Ni vizuri sasa mmeacha kungangania kwamba jamaa yuko Wall Street. Hakuna Wall Street North Carolina, ni mwongo kilaza. Akamdanganye Michuzi.
January Makamba ameingiaje? January ameingizwa humu na mpambe wa Mashaka, Kilandu, CCMasili (msome hapa na hapa).
January ni plagiarist, ni kilaza, ndio maana wala hata hakubisha akaondoa haraka iwezekanavyo zile articles alizokuwa amezibandika kama zake, akazirudisha na attribution ya NY Times siku ile alipoanikwa hapa JF. Na athubutu kuzirudisha kwenye blog yake na jina lake kama mwandishi. Muulizeni kwa nini aliondoa jina lake?
Kitu kingine January amefanya baada ya kuwa exposed hapa siku zile ni kuondoa access kwenye profile za wachangiaji wake, kama Waziri mstaafu Diallo ambae alitia aibu jinsi alivyo ji introduce occupation yake. Sasa hivi huwezi kuona profile/wasifu wa wachangiaji. Ukibonyeza jina inakwambia profile not available. Naona wamefanya mabadiliko. Wanaficha profile baada ya kukosolewa na JF. Umeshaona wapi blogger anaficha profile yake? Aibu tupu, vilaza, wezi wakubwa. Nadhani Waziri aliomba January amtoe, au January aliamua kuwahi kumsitiri Waziri Diallo. One or the other. Sasa watu kama January, Diallo, Shayo, Mashaka, watupu kama hawa ni wa kuwaonea wivu?
Professor Shayo nae mnamleta humu nae, duuu, maskini ya Mungu. Jamaa alijifanya ni expert wa masuala ya historia ya Valentine, akaandika article kwa Michuzi. Akapigiwa makofi na wasomaji wa Michuzi, kumbe article yenyewe kaiba nzima nzima halafu kachomekea vineno Tanzania humo ndani ionekane kama ni article ya Kibongo vile, kumbe kaiba mitandaoni. Halafu akijua ana dili na watu gani akasema hii article nimewaandikia wasomaji wa Michuzi. You know how wachangiaji wa Michuzi walivyo wepesi wepesi. JF watu kama Shayo wanajua hawathubutu kusogelea. Professor mwizi.
John Mashaka, duuu, huyu John Mashaka mimi nadhani kuna sababu ya wachangiaji kuuliza kama ni Mbongo huyu mtu. Ana sound kama mjomba. Anadai ni investment banker wa Wall Street. Hakuna Wall Street North Carolina. Ni mwongo, kilaza, mjomba. Eti hajaomba mtu msaada? Alishatembeza vibakuli kwa wananchi, Charlotte, kupitia foundation yake halafu akaongopa kuhusu usajili wa foundation yake kwenye interview Daily News mwaka jana. Anaficha nini, au ni mwizi?
Ni vizuri sasa mmeacha kungangania kwamba jamaa yuko Wall Street. Hakuna Wall Street North Carolina, ni mwongo kilaza. Akamdanganye Michuzi.