Nimeona tangazo kwenye magazeti ya Mtanzania, Dimba, na Rai kuwa waziri mkuu wa kenya Raila Odinga anategemewa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi mpya wa magazeti ya fisadi Rostam Aziz
Odinga anaheshimika mno, hapa Tz, huenda hajajua kinachoendelea humu ndani kuhusu huyu fisadi na vyombo vyake dhalimu vinavyopigana kucha kufisha demokrasia hapa Tz
Ningefurahi sana kama JF itafanya linolowezekana ili mh. Odinga afahamu amealikwa na nani na hili limsadie aepuke kutumiwa kwa hasara ya watanzania
Odinga anaheshimika mno, hapa Tz, huenda hajajua kinachoendelea humu ndani kuhusu huyu fisadi na vyombo vyake dhalimu vinavyopigana kucha kufisha demokrasia hapa Tz
Ningefurahi sana kama JF itafanya linolowezekana ili mh. Odinga afahamu amealikwa na nani na hili limsadie aepuke kutumiwa kwa hasara ya watanzania