Heavy Weight
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 888
- 875
- Thread starter
- #61
pole mkuuJmaa unazingua na uzi wako watu tupo kwenye daladala halafu unatusimamishia minara yetu kilazima
pole mkuuJmaa unazingua na uzi wako watu tupo kwenye daladala halafu unatusimamishia minara yetu kilazima
Kaazi kweli kweli.Kifupi dogo ulibakwa..noma sana asee
Vipi muendelezopole mkuu
Nimetuma sasa ivi angalia page ya nyumaVipi muendelezo
DahNimetuma sasa ivi angalia page ya nyuma
inaonekana ulikuwa na mwili mkubwa toka kipindi hicho na ndio walikuwa wanautamani..Karibu mkuu
Ndefu si ndio nzuri yna4Ndefu mno
Inawezekana kikawa kigezo pia mkuuinaonekana ulikuwa na mwili mkubwa toka kipindi hicho na ndio walikuwa wanautamani..
Nimetuma muda mfupi, apo juu muendelezo mkuu. Angalia page ya nyumaTustori tutamtam kama hii iendeleze mkuu
Poa poa mkuuNimetuma muda mfupi, apo juu muendelezo mkuu. Angalia page ya nyuma
Wakati mwingine nakosa ladha ya mapenzi nikifikiria vitu kama hivi Ndio sababu bikra zimekuwa adimu sana kwa mabinti zetu tatizo ni sisi wazazi tunasihau sana na kuamini watoto wote ni sawa kumbe kuna watoto wahuni kama mleta madaTena mbaya zaidi wamezungusha
Hatari sana, watoto wa kiume pia wanapitia mengi. Hasa wanaoachwa peke yao na madada wa kazi
Hhaha Mkuu, nilikua nakumbwa na hizi kadhia bahati mbaya. Sikua nadhamiria.Wakati mwingine nakosa ladha ya mapenzi nikifikiria vitu kama hivi Ndio sababu bikra zimekuwa adimu sana kwa mabinti zetu tatizo ni sisi wazazi tunasihau sana na kuamini watoto wote ni sawa kumbe kuna watoto wahuni kama mleta mada
Ni kweli mkuu, hasa watoto wa kiume huwa ndio hawaangaliwi kabisa.Nishapigishwa sana deki kweye visimi enzi za chekechechea mpaka darasa la kwanza.wazazi kuweni makini san na watoto wenu wadogo,na mazingira yanayowazunguka nyumbani na shuleni na interaction zao,hakikisha mnakuwa na ukaribu wa hali ya juu na watoto wenu kiasi waweze kuwaambia yote yanayoendelea katika maisha yao na muwaandae kukabiliana na mabazazi.watoto wadogo wanakutana na mitihani mingi sana katika maisha yao na bahati mbaya kujitetea hawawezi.na wazazi ndo sisi tuko bize na kusaka tonge.nachoshukuru mungu walau nilifanyiwa huo uovu na mabinti,ingekuwa na wanaume wangekuwa marehemu sasaiv.