Mkuu
Janjaweed mbona unaleta misamiati mipya kwenye lugha yetu! Watu wanatumiwa kinyume na maumbile ya fikra zao!?
Mkuu watu wa aina ya huyu sheikh unawaachia FBI/CIA wanahagaika naye na matokeo yake yataonekana haraka. Kumbuka kilichompata mhadhiri mmoja wa kidini kule Mombasa akijulikana kwa jina la Sheikh Abdul Rogo. Tayar ameishakuwa historia.