Walipoambiwa mmekuwa mwili mmoja, mbele za watu ikawa hivi

Pastor Achachanda

JF-Expert Member
May 4, 2012
3,022
1,305
b1e3029546cd20c8103d980708dd8ca4.jpg
 
huyu mdada ana ujasiri mkubwa sana, mbasha itabidi amuogope kuliko wanadamu wote, alikuwa na uwezo kumfanya chochote hata kumtoa roho. hivi kweli mtu aliyekuwa ameolewa kwa ndoa na shamrashamra zile anaweza kufanya kitu kama hiki mbele za watu tena hapa hapa tz? wangekuwa wazungu tungesema hao wameranduka, lakini mjukuu wa askofu huyu? dah?
 
huyu mdada ana ujasiri mkubwa sana, mbasha itabidi amuogope kuliko wanadamu wote, alikuwa na uwezo kumfanya chochote hata kumtoa roho. hivi kweli mtu aliyekuwa ameolewa kwa ndoa na shamrashamra zile anaweza kufanya kitu kama hiki mbele za watu tena hapa hapa tz? wangekuwa wazungu tungesema hao wameranduka, lakini mjukuu wa askofu huyu? dah?
Na anaonekana ni mapepe sana.
 
huyu mdada ana ujasiri mkubwa sana, mbasha itabidi amuogope kuliko wanadamu wote, alikuwa na uwezo kumfanya chochote hata kumtoa roho. hivi kweli mtu aliyekuwa ameolewa kwa ndoa na shamrashamra zile anaweza kufanya kitu kama hiki mbele za watu tena hapa hapa tz? wangekuwa wazungu tungesema hao wameranduka, lakini mjukuu wa askofu huyu? dah?
Moyo wa mtu ni kiza kinene hasa unapompa shetani nafasi rohoni mwako huku kimwili ukijifanya wewe ni wa Kristo
 
huyu mdada ana ujasiri mkubwa sana, mbasha itabidi amuogope kuliko wanadamu wote, alikuwa na uwezo kumfanya chochote hata kumtoa roho. hivi kweli mtu aliyekuwa ameolewa kwa ndoa na shamrashamra zile anaweza kufanya kitu kama hiki mbele za watu tena hapa hapa tz? wangekuwa wazungu tungesema hao wameranduka, lakini mjukuu wa askofu huyu? dah?
Wivu tu huna lolote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom