Waliotoka Kifungoni ( Ban) Tunaomba Experince

Albedo

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2008
Posts
5,558
Reaction score
1,462
Nimekuwa nikijiuliza hivi mtu ukiwa Banned ( Kufungiwa) Unajisikiaje, naomba wale wote waliwahi kupewa Ban na Mods watueleze Experince zao hii inaweza kuwasaidia memba wengine wasichezee Sharia za JF, vile feel free to tell us if you wish siku moja na wewe ule Ban

Kwa kuanzia natamani sana nile Ban ya Wiki moja hivi ila naogopa

Karibuni
 
Muombe Mod akupe Ban kwa hiyo week ili uone inakuwaje:ban:
 
Lol! Usitest kina cha mto na miguu miwili!
 
Watu wana ID tano mmoja.Ukimbani anakuja kivingine hivyo uchungu wa ban unakuwa hauonekani.Labda hiyo ID ditekta itasaidia.
 
Naukumbuka nilikula ugali na maharagwe kwa siku tatu mfululizo. Sikupata chansi ya kudumisha mila wala wa kumwaga upupu wangu hapa.

Tangu siku hiyo namtakia mabaya Invizibo, sijui kwanini hayampati (hili limjamaa litakuwa lichawi asee)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…