Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,315
- 152,113
Siasa za nchi hii tunazijua na pia tabia za wanasiasa wetu nazo tunazijua.
Inahitaji akili kusoma tabia za wanasiasa hawa na ili ubaki salama mambo mengine ni lazima upime kwanza kabla ya kufanya maamuzi maana kuna kuchomekeana ili uharibu wengine waingie / waweke watu wao,n.k na pia kuna kugeukana / kugeukwa baada ya wao(wanasiasa) kusoma upepo.
Kesho na kesho kutwa sitashangaa kusikia kuna watu wanaanza kutuhumiwa kuwa wanatumiwa na wanasiasa ili kumchonganisha mh.fulani na wananchi,n.k.
Sitashangaa pia kelele zikizidi mamlaka husika zikaja na ufafanuzi kwa lengo la kujaribu kuweka mambo sawa
Sitashangaa pia kusikia watu wanaondolewa kwenye nafasi zao kimya kimya na katika mazingira yenye utata.
Time will tell.
Inahitaji akili kusoma tabia za wanasiasa hawa na ili ubaki salama mambo mengine ni lazima upime kwanza kabla ya kufanya maamuzi maana kuna kuchomekeana ili uharibu wengine waingie / waweke watu wao,n.k na pia kuna kugeukana / kugeukwa baada ya wao(wanasiasa) kusoma upepo.
Kesho na kesho kutwa sitashangaa kusikia kuna watu wanaanza kutuhumiwa kuwa wanatumiwa na wanasiasa ili kumchonganisha mh.fulani na wananchi,n.k.
Sitashangaa pia kelele zikizidi mamlaka husika zikaja na ufafanuzi kwa lengo la kujaribu kuweka mambo sawa
Sitashangaa pia kusikia watu wanaondolewa kwenye nafasi zao kimya kimya na katika mazingira yenye utata.
Time will tell.