Sijui sifa za kiongozi kwa wadanganyiika lakini pengine hiyo much much better inasimamia mtu alopata F na point 24 badala ya 26..Mkuu najua Ben is not popular, hasa ukiangalia jinsi alivyoendesha privatization(na kujiuzia mgodi) na alivyo-foresee ufisadi, ana madoa mawili matatu ambayo ni makubwa sana kwenye rekodi yake, ambacho wengi tunakubaliana. Kitu ambacho ninamlaumu sana ni kuwa mwaka wa mwisho wa urais wake ni kama aliwazira watu aliokuwa anawaongoza. He looked like he was really looking forward to leaving the office, na kusema ngoja niachana na wajinga hawa. Alikuwa amezongwa sana na pressure ya mtandao kiasi kwamba akabaki na donge moyoni na akatuzira watanzania. He did not use the powers vested in him (kwenye chama na Serikali) kuandaa mwelekeo mzuri baada ya yeye kuondoka ofisini. That is why we are where we are now, and only God knows how we are going to get out of this quagmire.
Lakini ukiangalia performance yake in general utaona kuwa he was much much better than awamu ya pili na awamu ya tatu, in many respects. Hatuwezi kumlinganisha na awamu ya kwanza kwa kuwa it was different era and different politics. He was no saint, and some of us would be happy to see him in court, but that does not change the fact he had a better team and provided better leadership than the current one.
Aint kidding.. Even Hitler did a lot to his countries dispite all the fuzz.I see... You gotta be kidding me!
halafu baadaye akampa madaraka kwenye serikali!!Aliyechapwa viboko alikuwa ni Mwabulambo (RIP) Yeye alichapwa kwa kukaidi amri ya Mwalimu Nyerere ya kuwataka wanafunzi waombe msamaha ubalozi wa Uholanzi baada ya maandamano yao na kupindua na kupiga mawe motakaa ya ubalozi. Mwalimu aliwaita Ikulu kuwataka waombe msamaha. Kuna baadhi walikataa. Alipowauliza ni nani asiyetaka kuomba msamaha Mwabulambo akanyoosha mkono. Akaitwa na akamwamuru poliisi amchape viboko. I know this because the late Mabulambo was my friend.
Kuna mahali Blueray kasema Nyerere aliua mamilioni. Naomba atutajie hata watano tu kati ya mamilioni waliouawa na Nyerere.
Kuna mchapo alinipa marehemu Mwabulambo. Siku moja Julius ameenda ziara ya kikazi mkoani na miongoni mwa waliokwendahalafu baadaye akampa madaraka kwenye serikali!!
-Kassim Hanga
-Sheikh Othman Sharif
-Dk. Kleruu
-Many of the villagization process victims where the bulk of this accusation is stemming from.Nyerere may not have killed a significant number of people directly, but his policies and mediocrity resulted in the deaths of so many, probably in the million range if not hundred of thousands. We may never know for sure the exact figure due to the nature of the secrecy of the era.
See Pratt, Cranford (1999). "Julius Nyerere: Reflections on the Legacy of his Socialism". Canadian Journal of African Studies 33 (1): 137 52. doi:10.2307/486390
Masatu punguza ushabiki kwa Mkapa ndugu yangu. Mkapa kaingia madarakani December 1995, wakati huo JKT kwa mujibu wa sheria hawakuwa wanaenda tena.
Nadhani intake ya mwisho iliyotumikia mwaka mzima ilikuwa ni 1992, baada ya hapo wakabadilisha mfumo wakasema sasa itakuwa miezi 6 badala ya mwaka mzima. Zilienda intake 2 au 3 za miezi sita sita na baada ya hapo hakuna intake yoyote iliyoenda.
Mwaka 1994 kulikuwa na tetesi kwamba mfumo wa mwaka mzima, lakini haikuwa hivyo na badala yake hawakwenda kabisa. Waliomaliza vyuo vya ngazi ya cheti na waliomaliza Form 6 baada ya mwaka 1994 hakuna aliyekwenda JKT kwa mujibu wa sheria.
Kwa hiyo utawala wa Mkapa (Dec 1995 - Dec 2005) hakukuwa na intake hata moja ya JKT. Labda kama unaongelea JKT ya kujitolea, lakini siyo ya mujibu wa sheria.
Kama ulienda JKT enzi za utawala wa Mkapa ilikuwa ni mwaka gani (specific year) siyo useme in 1990s, which is a general statement ili kutudanganya. Hata Mwinyi alikuwa madarakani mpaka 1990s, wewe unaongelea 1990s ya lini?
Wewe huwa unapenda watu waje facts, ninaomba niku-challenge uje na facts, sema ni mwaka gani ulienda, ulikuwa operation gani na ulikuwa kambi gani?
Nasikiaga hiyo JKT inaongezaga uzalendo eti. Hili huwa lina ukweli wajameni???
Hivi uchaguzi wa vyama vingi ulianza `95vile?Na JKT iliishia `94?Hapana bana, binafsi nimeenda JKT 1990's utawala wa Mkapa. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!
taja mwaka 1990's ....maana mwinyi c katawala mpaka 1990's mkuu auHapana bana, binafsi nimeenda JKT 1990's utawala wa Mkapa. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!
I can equally say ukitaka kufahamu jinsi Mwalimu alivyokuwa dikteta wa one man show aliyeshindwa kuandaa leadership ya kuja kuchukua uongozi baada yake angalia uongozi wote baada yake.
Hapana bana, binafsi nimeenda JKT 1990's utawala wa Mkapa. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!
Sitta alikuwepo kati ya waliogoma,hizi ni habari za kuaminika;habari za kuaminika pia kuwa yeye alikuwa particularly stubborn. Kwa hiyo kama mtu yoyote alipigwa viboko,labda itakuwa ni Sitta. Lakini hii habari ya viboko bado sijaisikia hata siku moja.Hii maneno niliwahi kusikia kitambo kidogo watu walikula viboko kwa kwenda mbele.Niliambiwa Samwel Sitta na Mark Bomani walikuwemo.
Hapana. Mark Bomani hakuwemo. Wakati huo tayari alikuwa Attorney General.
Namfahamu mmoja tu, marehemu Mwabulambo. JKT iliuliwa enzi za Mwinyi.
Hapana bana, binafsi nimeenda JKT 1990's utawala wa Mkapa. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!
Hivi uchaguzi wa vyama vingi ulianza `95vile?Na JKT iliishia `94?