Dereva wa Kenya Nelson Wanjohi Kirika, mkazi wa Kenya nchini Afrika Kusini Edward Mwangi Mwai, na Aziz Hama, raia wa Tanzania (kutoka kushoto kwenda kulia) wamefikishwa rasmi mahakamani leo asubuhi wakikabiliwa na shtaka la kumteka nyara Mtanzania Mshabaha Mshabaha Hamza na kumsababishia majeraha makubwa ya mwili katika Kaunti ya Machakos.
Watuhumiwa hao watatu wamekana mashtaka yote dhidi yao. Wanaendelea kushikiliwa mahabusu. Maombi ya dhamana pamoja na kutajwa kwa kesi hiyo yamepangwa kufanyika tarehe 9 Machi.
--
Pia soma > Wanaodaiwa kuwa Watanzania wakamatwa nchini Kenya wakijaribu kumteka Mwanaharakati Mshabaha Hamza
Taarifa kutoka Amnesty Kenya
Kenyan driver Nelson Wanjohi Kirika, Kenyan resident in South Africa Edward Mwangi Mwai, and Aziz Hama, a Tanzanian national (left to right) were formally charged this morning with abducting Tanzanian Mshabaha Mshabaha Hamza and subjecting him to grievous bodily harm in Machakos County. The three pleaded not guilty. They remain in custody. Bail application and case will be mentioned on 9 March. Kenya must never be a corridor for transnational repression.
Mtanzania -Mzanzibari? 👇👇
Aziz Hama ni Mpemba wa Zanzibar lakin makazi yake ni Moshi mjini- Kilimanjaro
Hapo awali Aziz Hama alikuwa ofisa wa Jeshi la Polisi Tanzania
@tanpol lakin alifutwa kazi kwasababu ya utovu wa nidhamu ikiwemo kujihusisha na matukio ya UJAMBAZI.
Watuhumiwa hao watatu wamekana mashtaka yote dhidi yao. Wanaendelea kushikiliwa mahabusu. Maombi ya dhamana pamoja na kutajwa kwa kesi hiyo yamepangwa kufanyika tarehe 9 Machi.
--
Pia soma > Wanaodaiwa kuwa Watanzania wakamatwa nchini Kenya wakijaribu kumteka Mwanaharakati Mshabaha Hamza
Taarifa kutoka Amnesty Kenya
Kenyan driver Nelson Wanjohi Kirika, Kenyan resident in South Africa Edward Mwangi Mwai, and Aziz Hama, a Tanzanian national (left to right) were formally charged this morning with abducting Tanzanian Mshabaha Mshabaha Hamza and subjecting him to grievous bodily harm in Machakos County. The three pleaded not guilty. They remain in custody. Bail application and case will be mentioned on 9 March. Kenya must never be a corridor for transnational repression.
Mtanzania -Mzanzibari? 👇👇
Aziz Hama ni Mpemba wa Zanzibar lakin makazi yake ni Moshi mjini- Kilimanjaro
Hapo awali Aziz Hama alikuwa ofisa wa Jeshi la Polisi Tanzania
@tanpol lakin alifutwa kazi kwasababu ya utovu wa nidhamu ikiwemo kujihusisha na matukio ya UJAMBAZI.