machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 1,885
- 3,944
Hawa TMA kwa kweli hawakukosea Leo nimechapwa na mvua Moja pande za kisongo airport mpaka nikaficha simu yangu sehemu za siri.
Ni mara ya kwanza nime experience kichapo Cha mvua namshukuru Mungu yule jomba aliyekua anaendesha harrier yake alinipa lift manake sikuona bodaboda wala bajaji.
Ninavyoandika huu Uzi bado mvua kubwa inanyesha Arusha
Tumshukuru Mungu
Ni mara ya kwanza nime experience kichapo Cha mvua namshukuru Mungu yule jomba aliyekua anaendesha harrier yake alinipa lift manake sikuona bodaboda wala bajaji.
Ninavyoandika huu Uzi bado mvua kubwa inanyesha Arusha
Tumshukuru Mungu