Mambaenock
JF-Expert Member
- Aug 7, 2013
- 427
- 107
Mwl Elibark kwa sasa alikuwa anafundisha St Carol na alijenga nyumba yake mwabaruhi!
Mwl Elibark kwa sasa alikuwa anafundisha St Carol na alijenga nyumba yake mwabaruhi!
picha za kitambo sana mkuu naona vijana wamependeza na wakawaka kelvin, Faida , Chanai , Marco S Yohana, Salva, George ,Madata wengine nimesahau majina. Ahsante kwa kumbukumbu nzuriumenikumbusha mbali sana mdau, Sengerema enzi hizo! tulikuwa na Head Master alikuwa akijiita Master of the Masters, hadi jina lake nishamsahau!
View attachment 140788View attachment 140789
Duh, Sesesco nimetoka mwaka 2004. Advance hiyo! Mambo ya mwabaluhi, kupitia chaka ukiwa unaenda zako town, SM na bila kusahau kwenda town kwenye "kikao" kila ijumaa usikupicha za kitambo sana mkuu naona vijana wamependeza na wakawaka kelvin, Faida , Chanai , Marco S Yohana, Salva, George ,Madata wengine nimesahau majina. Ahsante kwa kumbukumbu nzuri



Duh, Sesesco nimetoka mwaka 2004. Advance hiyo! Mambo ya mwabaluhi, kupitia chaka ukiwa unaenda zako town, SM na bila kusahau kwenda town kwenye "kikao" kila ijumaa usiku![]()
![]()
![]()
nimetoka advance 2005 hapo, nimekula sana mafuta ya taa kwenye maharage na bondo, uji without sugarDuh, Sesesco nimetoka mwaka 2004. Advance hiyo! Mambo ya mwabaluhi, kupitia chaka ukiwa unaenda zako town, SM na bila kusahau kwenda town kwenye "kikao" kila ijumaa usiku![]()
Hahahaaaa, hii JF balaa! Unaweza kuta tunafahamiana. Mi nilikuwa PCB, headmaster wetu Mpemba, RIP!nimetoka advance 2005 hapo, nimekula sana mafuta ya taa kwenye maharage na bondo, uji without sugar
ni kweli chief, Mimi pia nilisoma PCB apumzike kwa amani Mpemba aliondolewa baada ya ule mgomo wa 2003Hahahaaaa, hii JF balaa! Unaweza kuta tunafahamiana. Mi nilikuwa PCB, headmaster wetu Mpemba, RIP!