Waliosoma Pamba secondary enzi za utawala wa Mkapa!

Waliosoma Pamba secondary enzi za utawala wa Mkapa!

Freyzem

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2013
Posts
10,318
Reaction score
25,111
Wadau wote waliosoma Pamba secondary enzi hizo, karibuni mtueleze mnayoyakumbuka bila kusahau watu mashuhuri waliowahi kupitia hapo na majina yao!
 
Na wewe umesoma hapo au? Kama ndiyo fungua dimba mkuu
 
Daud itakuwa alisoma Evening Class,maana Mwaka huo Wa 1997 ndo ilianzishwa evening class pale pamba sec kwa ajili ya watu waliokosa nafasi za secondary , walikuwa wanaingia kuanzia SAA Tisa mchana , inawezekana daudi alikuwa mmojawapo ya wanafunzi hao.
Wewe tumekukamata. Eenhee wakati huyo tumbo alipokuwepo Daudi Bashite alikuwa anasoma hapo Pamba secondary!?
 
Enzi hizo pamba ilikuwa poa sana, nawakumbuka walimu wangu ( Mr.kimune( marehemu),Mr.Doto, mama ropa (R.I.P), Mrs. Rwamba, Mrs.Mandalu, mrs.mpanduji, mrs.dyamkama, Mr.Anord, Mr.ozyambo) , nawakumbuka sana walimu wangu mwenyezi Mungu awalinde walio hai, waliotutoka ( RIP)

[
QUOTE="Freyzem, post: 20000510, member: 153894"]Wadau wote waliosoma Pamba secondary enzi hizo, karibuni mtueleze mnayoyakumbuka bila kusahau watu mashuhuri waliowahi kupitia hapo na mjina yao![/QUOTE]
 
kama bashite aliyepata 0 hapo pamba ni mkuu wa mkoa basi wanafunzi wenzake woote watakua mabarozi na mawaziri.....mwalinu wake atakua ni mkulu mwenyewe
 
Namkumbuka alikuwa anavaa mabwanga 'suruali kubwa' na kugombania 'top layer'
 
hivi kwanini mimi sikumaliza shule ya sekondari ya Pamba mwaka 2000😵
 
Enzi hizo pamba ilikuwa poa sana, nawakumbuka walimu wangu ( Mr.kimune( marehemu),Mr.Doto, mama ropa (R.I.P), Mrs. Rwamba, Mrs.Mandalu, mrs.mpanduji, mrs.dyamkama, Mr.Anord, Mr.ozyambo) , nawakumbuka sana walimu wangu mwenyezi Mungu awalinde walio hai, waliotutoka ( RIP)

[
QUOTE="Freyzem, post: 20000510, member: 153894"]Wadau wote waliosoma Pamba secondary enzi hizo, karibuni mtueleze mnayoyakumbuka bila kusahau watu mashuhuri waliowahi kupitia hapo na mjina yao!
[/QUOTE]
Duh Mr kimume alisha tutembezea fimbo za hatari pale assembly kisa hatujafanya usafi smart area duh ile mianzi ni kiboko
 
Duh Mr kimume alisha tutembezea fimbo za hatari pale assembly kisa hatujafanya usafi smart area duh ile mianzi ni kiboko[/QUOTE]

Nakumbuka siku moja asubuhi nimechelewa nikaruka ukuta kabla hawajajenga mabanda yale ukuta ulikuwa wa mabati. Marehemu Kimune akaniona baada ya kuniona akamtuma mtu aniite. Ikabidi nimwambie kuwa sijafika. Nikarudi tena nikatokea getini na madam Ruhumbika mkuu wetu kipindi kile. Kimune nikamgomea kuwa sijaruka na mkuu wa shule akanitetea.

Pamba madam Ndyamukama mama wa kiswahili, yupo Madam Rwamba alikuwa mkali balaa, pia mwl wa physic atakuwa Pima( nasikia ni marehemu pia) mabimbi, mr Dotto second master mrefu wa miraba 4. Walimu wangu wa pamba enzi hizo nawakumbuka sana.
 
Back
Top Bottom