Vasco Dagama
Member
- Jan 18, 2012
- 52
- 10
Mie nilisoma hii shule "O" from 1987 - 1990, Iko mgodi wa Almasi Shinyanga
Fufahamiane mlioko humu asanteni
Fufahamiane mlioko humu asanteni
Mie nilisoma hii shule "O" from 1987 - 1990, Iko mgodi wa Almasi Shinyanga
Fufahamiane mlioko humu asanteni
hongera mkuu!!Mie nilisoma hii shule "O" from 1987 - 1990, Iko mgodi wa Almasi ShinyangaFufahamiane mlioko humu asanteni
Mkuu unataarifa kuwa mwaka 2007 iliungua moto?
Fufahamishane=Tufahamishane
Sina habari duhh lakini imekwisha sana siku hizi nafikiri maana tangu nitoke sikuwahi kurudi
Mkuu jitahidi uende ukachangie japo hela ya vitabu
Labda kama kuna njia ya mtandao lakini kwenda mzima ngumu niko tofauti kidogo
Sina habari duhh lakini imekwisha sana siku hizi nafikiri maana tangu nitoke sikuwahi kurudi
Wakati huo Head Master alikuwa nani....Nakumbuka Kina Apolo Mathias,Beatruce Rwegeshora, Monica......Mwalimu Barabona,Gontako,KK...Kaasa...Shule Haikuungua habari sio kamili..
Headmaster Kachuchuru, mie namkumbuka Evans Lyimo