Hoya do nimekubali wewe mwe zangu,shule Kama jeshini,!!Mimi niliitwa na Mzee Mwaipopo akaniambia hawa vijana wa Tambaza wangalieni hii ni Iyunga.halafu nikamaliza wengi walirudi mjini,akabaki Dogo mmoja Nigga ingawa sio peke yake Dogo Mwisho nilionana nae alikuwa na TIB