Waliosoma Ihungo high school njooni hapa

Waliosoma Ihungo high school njooni hapa

ST THOMAS MORE COLLEGE -Sijaona wa kutaja Cubic ya Mafupa au wa enzi za Kabwemela na Mshema hampo?.
 
Hahaaaa..kuna siku ilikua ya ukaguzi..wa RPMs kuna jamaa hakuatend sehemu yake husika..daah alikua stick balaaa tena za mianzi..tangu sikuile moyo wa ihungo ulipotea..

Na yalipotoka matokeo ya form six ndio kabisaa..niaanza machakato wakusepa..

Ile shule niiona kama jera ndogo..

Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto wa mama walikua wanakimbia....

Tulizoea ku iita JKT IHUNGO

Mna mkumbuka MWL. LUTUNDA
Alipenda kusema.....

PEOPLE ARE NOT RESPONDING.....USE AN ORDER...TELL THEM TO COME.....INTALOGATE THEM,....PUSH THEM , COMMAND THEM.....TELL THEM TO COME

NILI BAHATIKA KUKAA ELGON 12 A.k.a Headquarters ya Ihungo
 
Back
Top Bottom