Waliosoma Ihungo high school njooni hapa

Waliosoma Ihungo high school njooni hapa

Nakumbuka ugomvi Wa Ihungo na kahororo wakiwa wanatokea uwanja wa kaitaba, fujo zilidumu zaidi ya Massa mawili, ilopofika usiku kahororo wakaja mpaka ihungo na marungu na mapanga daa ilikuwa balaa. Sababu kubwa ikiwa ni wasichana Wa sec Rugambwa.

Nakumbuka mbali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka ugomvi Wa Ihungo na kahororo wakiwa wanatokea uwanja wa kaitaba, fujo zilidumu zaidi ya Massa mawili, ilopofika usiku kahororo wakaja mpaka ihungo na marungu na mapanga daa ilikuwa balaa. Sababu kubwa ikiwa ni wasichana Wa sec Rugambwa.

Nakumbuka mbali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
tukio la miaka gani maana nilikuwa nje ya ukanda huo kwa wakati huo. nimesoma shule za watukutu: ihungo, milambo. aisee ni shiida!
 
nimezama ndani ya medula bado nikafukunyua kumbukizi mujarabu
-hm shasha (alihamia maruku) 'shasha wanangu inabidi tuvumiliane, hali ya chakula ni mbaya....'
-mwl mwijuki
-mwl tibaijuka (alipanda akawa DAS-ngara)
*alipenda kusema 'we katoto kajinga kajinga njoo hapa' ujiandae kuvutwa masikio. lkn mzuri sana kwenye civics na general studies
-mt gaucho: mtaalam sana kwenye history o.level na bombastic/vocabulary za kukata na mundu. mzee wa 'shockubsorber'. alikuwa akikuangalia kwa dharau kisha anajisemea, 'aaagh, toka mbele yangu. hata kwetu wapo' kwa sauti poole
-mrs tiba.. (jina limenitoka, alikuwa anakuja kazini na pick up nyeupe. staff nzima akiwa pekee mwenye gari kabla mr justinian banyenza mzee wa vocabulary za malkia zilizoenda kidato. alikuwa akitaja maneno km yafuatayo sisi wa fomu nyoya/darasa la 8 tunajiuliza hv tumekuja kusindikiza? tutatoboa kweli mbona tunasikia nyota nyota tu
##protocol, courtessy, mannerism, hurrigans, personality, punctuality, prosperity daaa alikuwa anamwaga ung'eng'e huyo. ngoja tu watoto wake tuipende klf tulimtamani
 
BREAKING NEWS
jana nimesalimiana mubashara na mwl. Tibaijuka ikiwa ni miaka 13 toka tumeonana. kwasasa ni Afisa Utumishi (W) Ngara. tulikutana msibani kijijini kwetu na amenikaribisha ofisini kwake. nitampa salamu zenu na ikibidi nimpe link ya uzi huu. napata shida tu kuwatambulisha kwa hizi id fake!
 
BREAKING NEWS
jana nimesalimiana mubashara na mwl. Tibaijuka ikiwa ni miaka 13 toka tumeonana. kwasasa ni Afisa Utumishi (W) Ngara. tulikutana msibani kijijini kwetu na amenikaribisha ofisini kwake. nitampa salamu zenu na ikibidi nimpe link ya uzi huu. napata shida tu kuwatambulisha kwa hizi id fake!
Hongera zake sasahv ni afisa utumishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah..sitoisahau ihungo..RPM, ikemefuna daah..kipindi hicho maji yalikua tatizo..mwalimu chura..nawengine kibao.

Nilihama zangu aseee..nilikaa miezi miwili tu..ila kuna jamaa namtafuta sana alikua anafahamika kama live..jamaa alikua mshabiki sana wa Liverpool..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah..sitoisahau ihungo..RPM, ikemefuna daah..kipindi hicho maji yalikua tatizo..mwalimu chura..nawengine kibao.

Nilihama zangu aseee..nilikaa miezi miwili tu..ila kuna jamaa namtafuta sana alikua anafahamika kama live..jamaa alikua mshabiki sana wa Liverpool..

Sent using Jamii Forums mobile app
unapotaja MAJI huwezi kumsahau mr Basinda, Sendabishaka na Rweikiza (baunsa)
 
Daah..sitoisahau ihungo..RPM, ikemefuna daah..kipindi hicho maji yalikua tatizo..mwalimu chura..nawengine kibao.

Nilihama zangu aseee..nilikaa miezi miwili tu..ila kuna jamaa namtafuta sana alikua anafahamika kama live..jamaa alikua mshabiki sana wa Liverpool..

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utakuwa umesoma enzi zetu. Chura na Popo walikuwa ni shiiiida. Mpaka ikafikia Chura kuvurumishiwa jiwe usiku akiwa Class. Daaah Ihungo ?
 
Wewe utakuwa umesoma enzi zetu. Chura na Popo walikuwa ni shiiiida. Mpaka ikafikia Chura kuvurumishiwa jiwe usiku akiwa Class. Daaah Ihungo ?
Hahaaaa..kuna siku ilikua ya ukaguzi..wa RPMs kuna jamaa hakuatend sehemu yake husika..daah alikua stick balaaa tena za mianzi..tangu sikuile moyo wa ihungo ulipotea..

Na yalipotoka matokeo ya form six ndio kabisaa..niaanza machakato wakusepa..

Ile shule niiona kama jera ndogo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaaa..kuna siku ilikua ya ukaguzi..wa RPMs kuna jamaa hakuatend sehemu yake husika..daah alikua stick balaaa tena za mianzi..tangu sikuile moyo wa ihungo ulipotea..

Na yalipotoka matokeo ya form six ndio kabisaa..niaanza machakato wakusepa..

Ile shule niiona kama jera ndogo..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ihungo shule ilikuwa ngumu sana, hizo RPM zenyewe mnapewa halafu mnapewa na SICKLE nyasi za Ihungo ngumu kinyama, muda huo mna zamu ya kuchota maji Ikemefuna halafu kupandisha mlima huo ni balaa
 
Ihungo shule ilikuwa ngumu sana, hizo RPM zenyewe mnapewa halafu mnapewa na SICKLE nyasi za Ihungo ngumu kinyama, muda huo mna zamu ya kuchota maji Ikemefuna halafu kupandisha mlima huo ni balaa
daaaaah...ukizingatia na mvua za bukoba..baridi muda mwingi sio siri niliboreka sana na mazingira ya ile shule..
achilia mbali rollcalls mpaka sa5 za usiku..ilikua majanga.
 
daaaaah...ukizingatia na mvua za bukoba..baridi muda mwingi sio siri niliboreka sana na mazingira ya ile shule..
achilia mbali rollcalls mpaka sa5 za usiku..ilikua majanga.
Rollcalls mpaka siku za TownLeave halafu hata TownLeave mnatakiwa kuvaa Uniforms. Ihungo ni pagumu sana
 
Back
Top Bottom