Waliositishiwa ajira zao mwezi May/Jun 2016

Waliositishiwa ajira zao mwezi May/Jun 2016

Hapo mkuu haijurkani mpaka warudshwe ndo watayakuta na ndo itajurkana ila kwa sasa hakna ajuae zaidi ya wenye kauli! Siku wakiamka vzr watatoa waraka na mwafaka wa wahanga hawa!
walaka gani au wamesha wachinjia baharini
 
Wawe wamewachinjia baharini yote heri tu maana hakuna jipya na chaajabu ndani ya awamu hii ya 5, ila waendelee hivhiv hafu 2020 ifike ndo watajua uongoz kama ni dhamana tu!

Kilio na machoz yanavyozd wanaona furaha eeh! Watumishi kila siku kuwafkr kuwafukuza, eti wameunga elimu na kupata degree pasipo kuwa na sifa hivyo wataondolewa kazn ama kweli hakna jpya na serkali yenu hii!

Mmeona miez 6 haiwatoshi mmeanza tena kutafta sababu za miez 2 mingne ili mfike mwakan kama mlivyofhamira?

Hovyoooo!
 
ajira zipo kifungoni mpaka msamaha wa raisi utakapo pita na kuwa huru
 
Kuna wapambe wengine wanapotosha umma et znatangaxwa ajira zikitangazwa kila mtu atajua maana sio SIRI kwan wahanga ni wengi!
 
upo utumishi

Huo walaka haupo sehemu yeyote bwana tuachen SIASA! Kama waliorejeshwa kazn waliokua na check No.wamerudishwa tena kwa Mara ya pili hapo kuna jipya? Vijana fanyen kazi zingne TOENI ndoto za kurejeshwa kazini MWAKA huu wala ajira Mpya!

Chief nkanga salut kwako kwa kuwambia ukweli kuwa ni Feb 2017, unakotoa data ndo sehemu ya data za ukweli, kama watasogeza mbele tena utawajursha vjana!
 
Ni kweli wengi wamepigiwa cm leo wanarud kazin nina ndug yangu amepigiwa ni wa mahakama.
 
Back
Top Bottom