David kahuka
Member
- Aug 11, 2013
- 28
- 5
Kwa wale waliositishiwa ajira May/Jun 2016 kupisha zoezi la watumishi hewa, Kuna jipya lolote mpk sasa!?!?!?
Ha ha ha haaaa,haiwezekanikuna tetesi kuwa wanatakiwa waombe tena nafasi upya.
Luna wale wa vyuoni hujapata update yoyoteWa halmashaur washarudishwa kazini,bado mahakama na afya.
kweli mkuu hata mimi nasubiri upande huu unanihusu sana kakaLuna wale wa vyuoni hujapata update yoyote
"ajira zilifunguliwa miezi miwili baada ya kufungwa"
By rahisi
Ht mm bn huko pananihusu!kweli mkuu hata mimi nasubiri upande huu unanihusu sana kaka
Halmashauri sio wote kiongozi. Ni wale tu waliokuwa na cheki nambaWa halmashaur washarudishwa kazini,bado mahakama na afya.
Halmashauri sio wote kiongozi. Ni wale tu waliokuwa na cheki namba
And the "simple" was right..."ajira zilifunguliwa miezi miwili baada ya kufungwa"
By rahisi
duh poleni sanaHt mm bn huko pananihusu!
Walorudisha kwa halmashaur j3 ya leo ndo wameripot vituon so mpaka kesho ndo tutaanza kujua km kuna chochote watapewa km wameambia hivyo after kurud vituon.Walokuwa na check namba ndo walorudshwa,je wamewalipa stahk zao kwa muda waliowasimamisha? Au wameanzia hapo hapo cku wameitwa?