Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,899
- 19,866
Huna jibu!! Haya nakutakia maisha mema ya kulamba viatu vya watawala kiasi kwamba wakikosolewa kidogo tu mnaumia utafikiri wamekosolewa baba zenu!!
Ahaaa ahaaaTulipiga deki barabara.
Siku Obama anaingia kuna kifusi kilisawazishwa pale Vingunguti.
Askari mmoja wa Marekani aliyesheheni alishuka toka garini na kukumbilia pale palipo sawazishwa na kukanyaga kanyaga kwa spidi na hatimaye kurukia gari yake na kutoka mbio.
Jamaa tukabaki kushangaa shangaa!
Ongeza na ya George W. Bush.Urais wa Bush Jr ulikuwa imara sanaWeka pia walioshuhudia ziara ya Bill Clinton.
Ya huyu ilikuwa ArushaWeka pia walioshuhudia ziara ya Bill Clinton.
Ilitakiwa kusimama mita 3 kutoka barabarani. Au kupita mita 3 nje ya barabara inamaana upite karibu kabisa na milango ya maduka uwaachie barabara wapite hasa kwenye msafara.Hata posta, siku hiyo hakuna raia alikatiza mjini.
Haha kwanini? alikuwa anafanya nini?Tulipiga deki barabara.
Siku Obama anaingia kuna kifusi kilisawazishwa pale Vingunguti.
Askari mmoja wa Marekani aliyesheheni alishuka toka garini na kukumbilia pale palipo sawazishwa na kukanyaga kanyaga kwa spidi na hatimaye kurukia gari yake na kutoka mbio.
Jamaa tukabaki kushangaa shangaa!
Na wa kwetu je..?Heshima ya Rais wa Marekani iko nje ya Marekani.
Wale wamarekani wakifikiri kuna kitu kimefukiwa pale.Haha kwanini? alikuwa anafanya nini?
ok.Ya huyu ilikuwa Arusha
Noma Sana.Ongeza na ya George W. Bush.Urais wa Bush Jr ulikuwa imara sana
Noma Sana.Ongeza na ya George W. Bush.Urais wa Bush Jr ulikuwa imara sana
Hutaki UnaachaMitano tena jamani
Yeah tulikuwa koloni kwa muda mfupi