Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
...
Kwa hiyo kutoka siku ya Mei mosi ndo mnajua Leo kuwa walimu walipitishwa? Akili zenu zinafikili bado tuko Zama za mawe.Taarifa ya Ikulu ilipotoshwa kwa makusudi na walimu na wakaitafsiri wanavyotaka wao. watu hawa wakatumia wingi wao kusambaza uongo.
Taarifa ilisema wazi kuwa ongezeko la 23.3% ni kwa walio kima cha chini. Wao sababu ya ufahamu mdogo wakaamua kusambaza taarifa za uongo kuwa hiyo ni kwa wote(flat rate).
Mijadala ilikuwepo humu na kwenye mitandao mingine kuwa waache kupotosha hii taarifa, Kama hawajaelewa waulize. Bado waliendelea na msimamo wao wa kupotosha.
Naiomba serikali ichukue hatua kwa wote waliopotosha taarifa hii na wengi wao hawa walimu wa mwendokasi.
#Kazi iendelee#
#SSH 2025#
Acha kuwa km mkundu wwTaarifa ya Ikulu ilipotoshwa kwa makusudi na walimu na wakaitafsiri wanavyotaka wao. watu hawa wakatumia wingi wao kusambaza uongo.
Taarifa ilisema wazi kuwa ongezeko la 23.3% ni kwa walio kima cha chini. Wao sababu ya ufahamu mdogo wakaamua kusambaza taarifa za uongo kuwa hiyo ni kwa wote(flat rate).
Mijadala ilikuwepo humu na kwenye mitandao mingine kuwa waache kupotosha hii taarifa, Kama hawajaelewa waulize. Bado waliendelea na msimamo wao wa kupotosha.
Naiomba serikali ichukue hatua kwa wote waliopotosha taarifa hii na wengi wao hawa walimu wa mwendokasi.
#Kazi iendelee#
#SSH 2025#
Serikali haikupotosha popoteKama SIRIKALI ndiyo ilipotosha, nani atakayeichukulia hatua? Au mtaipandisha kwenye private jet?
Mnapotosha sanaKwa hiyo kutoka siku ya Mei mosi ndo mnajua Leo kuwa walimu walipitishwa? Akili zenu zinafikili bado tuko Zama za mawe.
Ufafaunuzi gani na barua iliandikwa kwa kiswahili?Mama Zuri bana
Kama kulikua na upotoshaji why ufafanuzi haukutolewa mapema?
Watafanya nin?Mtulie mmeshawayonga waalimu. Mbona mnapiga kelele? Walimu wanajua cha kufanya
Serikali inataka kutoa ufafanuzi gani na barua iliandikwa kwa kiswahili?Ufafaunuzi gani na barua iliandikwa kwa kiswahili?
Kuna majuha Kama nyie ndio mnatakiwa kupewa ufafanuziSerikali inataka kutoa ufafanuzi gani na barua iliandikwa kwa kiswahili?
Mungu ambariki Kwa Lipi wakati hafai kuwa Rais jiandae kwa loloteWalimu bana!
Hawastahili kupewa tens uongozi wa nchi yetu.
Mama Mungu aendelee kukubariki.
Naona uko hapo Ikulu ndogo MagogoniSerikali haikupotosha popote
Soma ulichoandikaWalimu kwa wingi wao wakiamua kuleta mabadiliko nchi hii ni kundi kubwa sana, tatizo lao wanatumika hovyo na serikali ya CCM kwenye wizi wa kura halafu wanapewa mishahara midogo kama asante, hawa sijui ni "walimu" wa aina gani.