Hayawi hayawi sasa yamekuwa. awamu ya kwanza ya majina ya waliopangiwa mikopo mwaka 2017/18 iko tayari. BONYEZA HAPA kuona jina lako!
Link hiyo itakuelekeza moja kwa mja kwenye ukurasa wa ku login, login halafu angalia kwenye dashboard neno la kwanza ni "LOAN ALLOCATION 2017/18", bonyeza hapo utaona kama umepata au lah!
Wadau wa elimu kama kichwa kinavyojieleza!
Naomba tupeane updates na tetesi zozote zinazohusiana na kinachoendelea kunako bodi ya mikopo kuhusu utoaji wa mikopo 2017/18.
Wadau wa elimu kama kichwa kinavyojieleza!
Naomba tupeane updates na tetesi zozote zinazohusiana na kinachoendelea kunako bodi ya mikopo kuhusu utoaji wa mikopo 2017/18.
Wadau wa elimu kama kichwa kinavyojieleza!
Naomba tupeane updates na tetesi zozote zinazohusiana na kinachoendelea kunako bodi ya mikopo kuhusu utoaji wa mikopo 2017/18.
Naombeni kuuliza wakuu, hivi kwa mfano B.O.T wakaikutafta wenyewe kuwa u-apply sponsorship yao watakuwa wanakulipa sawa na loan's board au wataongeza kidogo?