Mbonea mweta
Senior Member
- Sep 4, 2018
- 140
- 40
no way outHivi kama sijapenda single selection ya chuo changu utaratibu wa uhamisho ni vipi ?
no way outHivi kama sijapenda single selection ya chuo changu utaratibu wa uhamisho ni vipi ?
washafungua ila me kwenye account angu mambo yale yale hainirusu kuapply tena vp profile ako/?Msaada kwa anayejua dirisha la2 la usajili UDOM linafunguliwa lin.. Anijuze.. Pia kama unatumia akaunt ya awali au unafungua nyingine?
Mi nilifunguaga akaunt lakini sikuifanyia application wala kulipia hela.. Sa ndo nataka niitumie sahivwashafungua ila me kwenye account angu mambo yale yale hainirusu kuapply tena vp profile ako/?
Nashindwa kuingia kwenye akaunt naomba procedure.ingia tu kwnye akaunt yko utaona
kwann unashindwa mwaanzon uliingiaje ulipoa galia majibu ykoNashindwa kuingia kwenye akaunt naomba procedure.
account ako ya udom ukiingia inaklusu ku apply second round??kwann unashindwa mwaanzon uliingiaje ulipoa galia majibu yko
Kama unaelewa nisaidie, kunihoji cdhan kama n njia sahih ya kunisaidia.kwann unashindwa mwaanzon uliingiaje ulipoa galia majibu yko
Bora uchague kozi nyingine tuwananiambia cjachaguliwa nijaribu round ya pili.
samahan he hiyo ni kwa udsm au hata udomingia kwa profile yako...kweny my application...utakuta alama ya delete na alama ya jicho...utabonyeza kwenye delete kufuta zile programz za mwanzo..then utaanz upya
Achaa kwanza tule nationa cake millioni kadhaa za loan Board, (kodi zetu) tumehaso toka fom 1 mpaka six,, tukose hata boom la kupozeaa machungu,,, hata kama hamna ajira acha loan bod watupe mitaj,,,,Hivi vijana MNA ujasiri gani wa kuamua kusoma BaEd kipindi hiki? By the time unamaliza kutakuwa na zaidi ya wahitumu wa baEd 6000 kitaa huku mashuleni kukiwa na ziada ya walimu wa baEd. Bora uingie mtaani now ujiajiri maana ndicho utachofanya ukihitimu baEd
Mwalimu mtarajiwa ndio unaandika hivi?wakuu nauliza kama kuna MTU mwenye two kachagiliwa BAED udom mana daah mimi nimeomba hyo koz udom nimetemwa

Kuandika kwenyewe hujui halafu unataka uwe mwalimu, hufai hata kufundisha shule ya msingiAchaa kwanza tule nationa cake millioni kadhaa za loan Board, (kodi zetu) tumehaso toka fom 1 mpaka six,, tukose hata boom la kupozeaa machungu,,, hata kama hamna ajira acha loan bod watupe mitaj,,,,
Kama umekuja kutafuta mwandiko mzur jf, kapimwe tezi dume hujielewi we mzee, sijui nyie mnawazaga ninKuandika kwenyewe hujui halafu unataka uwe mwalimu, hufai hata kufundisha shule ya msingi
Kajifunze kwanza kuandika kiswahili fasaha ndio uje tuongee, kilaza weweKama umekuja kutafuta mwandiko mzur jf, kapimwe tezi dume hujielewi we mzee, sijui nyie mnawazaga nin