Walioomba Kusoma UDOM Majina Tayari

daaah! UDOM sitakisahau ichi chuo, mpaka nimemaliza! mana yule dvc wa finance yule! we mwache tu,tutakutana nae kwa mungu!
 
Hivi na wewe kumbe kuna wanaokuonea?

kwani wewe hauna? mwigulunchemba! rama! kova! umasikini! mafisadi! n.k! ila uyo malacha ni ***** tu! sasa ivi niko mtaani! nikikutana naye anywhere namchapa! na hivi najiandaa september kwenda jesh! ni full mazoezi
 
kwani wewe hauna? mwigulunchemba! rama! kova! umasikini! mafisadi! n.k! ila uyo malacha ni ***** tu! sasa ivi niko mtaani! nikikutana naye anywhere namchapa! na hivi najiandaa september kwenda jesh! ni full mazoezi

Achana naye iko siku Mungu atamuumbua
 
Back
Top Bottom