tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Majina ya waliochaguliwa kusoma Postgraduate studies katika Chuo Kikuu cha Dodoma haya hapa: http://www.udom.ac.tz/index.php/list-of-successful-applicants-2012-2013
daaah! UDOM sitakisahau ichi chuo, mpaka nimemaliza! mana yule dvc wa finance yule! we mwache tu,tutakutana nae kwa mungu!
daaah! UDOM sitakisahau ichi chuo, mpaka nimemaliza! mana yule dvc wa finance yule! we mwache tu,tutakutana nae kwa mungu!
Hivi na wewe kumbe kuna wanaokuonea?
anaendesha chuo jinsi anavotaka, mlacha!
kwani wewe hauna? mwigulunchemba! rama! kova! umasikini! mafisadi! n.k! ila uyo malacha ni ***** tu! sasa ivi niko mtaani! nikikutana naye anywhere namchapa! na hivi najiandaa september kwenda jesh! ni full mazoezi
Majina ya waliochaguliwa kusoma Postgraduate studies katika Chuo Kikuu cha Dodoma haya hapa: http://www.udom.ac.tz/index.php/list-of-successful-applicants-2012-2013