cappo di cappi
Member
- Sep 17, 2013
- 29
- 7
na kunajamaa toka pande hizo anasema halmashauri ilipewa amri ya kujaza mafuta ktk gari zake kwa fedha ya halmashauri na kuzitia msafarani
OCD ni mwajiriwa wa serikali iweje asindikize wanasiasa? CCM wana green guard kwanini wasifanye kazi hiyo? Hivyo inamaana huduma mihimu ambazo OCD ilikuwa azitoe kama moja ya wajibu wake zimesimama. Akwatwe mshahara kwa kutowajibika kituoni kwake.
Sasa kama mkutano ni wa wanaCCM, Hawa vijana wametoka wapi kwenye mkutano usiowahusu, au wametumwa na Babu kutimiza ahadi zake kabambe na makini kuwa nchi haita tawalikaa??
Kazi yake ni kuangalia usalama wa raia,hao vichaa wenu wa cdm wangechoka kuzomea wangeanza kurusha mawe,chadema mnaleta siasa za kipuuzi za kuzomeana
wewe kweli ni msukule. Umesoma wapi kuwa hiyo misukule yako ya ccm imezomewa na chadema? Rudi shule ukaelimike. Wanaowazomea hyo mamisukule ni wananchi wakiwemo ccm waliowachokeni. Manguruwe yasiuyoshiba.
VIJANA 27 wanaosaadikiwa
ni kutoka vyama vya upinzani mjini Bunda wapo mikononi mwa polisi
kufuatia Amri ya viongozi kuwa wakamatwe kwa kukosesha amani mkutano wa C
C M.
OCD kusindikiza msafara wa Kinana Butiama hadi akirudi ndo tutawapa Up
date.
UP DATE vijana waliokamatwa wamechiwa huru na wataitwa kama
watahitajika,hii ni baada ya uongozi wa CHADEMA Bunda kuwatoa,baadhi ya
vijana ni Dickson Manyama na Masanja hawa ni vijana a UVCCM ambao
hawakuwa wanaafiki matusi ya Nape na watajiunga na CHADEMA.
OCD ni mwajiriwa wa serikali iweje asindikize wanasiasa? CCM wana green guard kwanini wasifanye kazi hiyo? Hivyo inamaana huduma mihimu ambazo OCD ilikuwa azitoe kama moja ya wajibu wake zimesimama. Akwatwe mshahara kwa kutowajibika kituoni kwake.
Huyu na wenzake walipata mpaka lift ya polisi wacha hao wanaosindikizwa tu:
![]()
Sasa kama mkutano ni wa wanaCCM, Hawa vijana wametoka wapi kwenye mkutano usiowahusu, au wametumwa na Babu kutimiza ahadi zake kabambe na makini kuwa nchi haita tawalikaa??
Huyu na wenzake walipata mpaka lift ya polisi wacha hao wanaosindikizwa tu:
![]()
Haya Masisiem kila
yanapozomewa yanasema ni Chadema..! Hivi nyie masisiem hamjui kila mtu
kawachoka....!
Kiboko chenu mahakama manake zinawazaba mokofi ya nguvu ,mpaka Jakaya mwenyewe kakili propaganda za kishetani haziwezi kamtimua mwigulu na masalia yake wanazurura na kushinda kwenye mitandao bora atumie wachina wa ubalozi ha ha ha, aibu mwenyekiti kajaa ukakasi hana tena mipango
Hoja ya kipuuzi sana dada. Inakushushia heshima!