Waliomzomea Nape na Kinana mbaroni

Waliomzomea Nape na Kinana mbaroni

Kukamata wanaozomea hakuondoi sababu za kuzomea. Ni busara kutafuta chanzo cha zomea zomea hizo badala ya kuwakamata.

Hili ndilo tatizo la Serekali hii. OCD mzima, mimi siamini, kwa nini serekali inamwacha mtu huyu kazini mpaka sasa?? Huyu ni zaidi ya mhujumu chama cha ccm kwa sababu anazidi kuwapaisha hao CDM. Hata ambaye alikuwa anashabikia kidogo ccm sasa amekwenda upinzani. Full stop. Kwa nini asitafute chanzo akautoa ushauri wake kwa Nape ili aendako asirudie kosa?
Too much of anything is harmful. Hizi kamata kamata zitakiua chama hiki tuu.
 
kama pinda alizomewa uwanja vya Sahara sembuse Nape!
Mbona hata mkutano wa Jk Kirumba watu walimzomea matata na baadhi ya mawaziri na sikusikia mtu kukamatwa!
Nape amekuwa nani?
na huyo OCD ana cheo gani ndani ya ccm?
 
VIJANA 27 wanaosaadikiwa ni kutoka vyama vya upinzani mjini Bunda wapo mikononi mwa polisi kufuatia Amri ya viongozi kuwa wakamatwe kwa kukosesha amani mkutano wa C C M
OCD kusindikiza msafara wa Kinana Butiama hadi akirudi ndo tutawapa Up date
zomea zomea ndio zawadi ya ccm kwa sasa,watawakamata wangapi?
 
Nape ni bomu jamani hana frame work ya maisha yake kisiasa.
 
Wana mkanda au walikamatwa eneo la tukio. Manake sijui unapeleka vipi kesi mahakamani utasema huyu domo lake limekaa kuzomea ndio umemkamata
 
Balozi mdhaifu aliingizwa chaka na hawa watu wawili mpaka sasahivi ajira yake ipo matatani,,,,na huyo ocd awe makini sana,,,we mwaache awasikilize,,kibarua kitaota nyasi wakati kinana na nape wapo dar,,,,
 
OCD ni mwajiriwa wa serikali iweje asindikize wanasiasa? CCM wana green guard kwanini wasifanye kazi hiyo? Hivyo inamaana huduma mihimu ambazo OCD ilikuwa azitoe kama moja ya wajibu wake zimesimama. Akwatwe mshahara kwa kutowajibika kituoni kwake.

Kazi yake ni kuangalia usalama wa raia,hao vichaa wenu wa cdm wangechoka kuzomea wangeanza kurusha mawe,chadema mnaleta siasa za kipuuzi za kuzomeana
 
Sasa kama mkutano ni wa wanaccm, Hawa vijana wametoka wapi kwenye mkutano usiowahusu, au wametumwa na Babu kutimiza ahadi zake kabambe na makini kuwa nchi haita tawalikaa??
1. unaitwa mkutano wa hadhara maana yake mtu yeyote hata asiye na chama anaruhusiwa kwenda mradi asivunje sheria.
2. kuzomea ni kinyume cha kushangilia. Sasa sijui kwanini wanaoshangilia nao wasikamatwe kwa kuonyesha hisia zao Hawa poliCCM wamezidi!
 
tarifa mbona imekaa kizandiki sana nadhani huu ni umbea usikuwa na mantiki.
 
siku moja arusha walikuwepo vijana watano walilipwa 5000 kila mmoja wakazomee msafala wa waziri mkuu nilishangaa sana kuwa na wanasiasa wa namna hii.
 
kwa sisi tulioko huku bunda ni aibu kwa CCM wanahonga watu pesa hili waende katika mikutano yao,wamejitahidi kuweka bendera za CCM karibu kila centre za barabara,namaanisha maeneo yenye idadi kubwa ya watu katika barabara inayojengwa na mkandarasi mchina,CCM ni janga la taifa hata NAPE na ndovu kinana wanajua
 
siku moja arusha walikuwepo vijana watano walilipwa 5000 kila mmoja wakazomee msafala wa waziri mkuu nilishangaa sana kuwa na wanasiasa wa namna hii.



We Aunty kama hauna hoja ya kuandika si utulie? Au unatafuta bwana humu nini make kila inachoandika ni cha kusadikika tu hakina ukweli,hamna waliberali hapa wanaofanya biashara hiyo labda kwingine Shame on you dude
 
VIJANA 27 wanaosaadikiwa ni kutoka vyama vya upinzani mjini Bunda wapo mikononi mwa polisi kufuatia Amri ya viongozi kuwa wakamatwe kwa kukosesha amani mkutano wa C C M.

OCD kusindikiza msafara wa Kinana Butiama hadi akirudi ndo tutawapa Up date.


UP DATE vijana waliokamatwa wamechiwa huru na wataitwa kama watahitajika,hii ni baada ya uongozi wa CHADEMA Bunda kuwatoa,baadhi ya vijana ni Dickson Manyama na Masanja hawa ni vijana a UVCCM ambao hawakuwa wanaafiki matusi ya Nape na watajiunga na CHADEMA.

sasa kama bunda analia tarime si atakimbia maana huku kuna majanga sana polisi wameua watu sana watu wana chuki ya kutosha
 
Wamewaonea hao
Kama wanajiamini waje wanikamate na mimi
NAPE ooooohooooooooooooo..................ooooooooohhhhhhh
KINANA ooooohooooooo..................hooooooooooooooooooo

Heeee!!
Niliwahi kuambiwa kuwa hawa vijana wa chadema wanavuta bangi nikawatetea sana kuwa hao ni watu wanaojitambua na ni watu ambao wanatamani mabadiliko ya kifikra na kimapinduzi, kijamii, kiuchumi na sayansi.
Kumbe nilikuwa natetea upepo.
Sasa hapa ndo nimeanza kuamini uwakili wangu ulikuwa umepotea, hivi kumbe mnavuta bangi?
Kama mumeanza hivi ipo siku mtaandaa maandamano ya kutembea uchi.
 
Sasa kama mkutano ni wa wanaCCM, Hawa vijana wametoka wapi kwenye mkutano usiowahusu, au wametumwa na Babu kutimiza ahadi zake kabambe na makini kuwa nchi haita tawalikaa??

unajua maana ya mkutam wa hzr
 
Chadomo ndo tabia zao' ni wakorofi hadi kwenye mikutano ambayo si yao'

Kichwakikubwa uvivu wa kufikiri, unapo uita mukutano wa hadhara manayake ni waote, ungekuwa wa CCM, wangeufanyia ktk ukumbi,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom