abdi ally
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,563
- 2,154
Hilo sio tatizo tatizo Kuna Aina ya watu hawana uwezo huo wa kusoma katika mitandao na uelewa mdogo wa mambo lakin Yale masimuliz yalifanya watu wawe na morali wa kutafuta story husikaSiku hizi kuna hizi media za kielektroniki tunasoma sana tu. Si hata wewe umekisoma kisa hiki cha waliomsikiza Nyerere hapo hapo kiganjani mwako?
Tatizo usasa mwing Kuna vingne lazima ukose,